ngoshwe
JF-Expert Member
- Mar 31, 2009
- 4,131
- 931
SAIDA MWILIMA AVISHWA PETE YA UCHUMBA KWA MBINDE
Mtangazaji wa Luninga Saida mwilima amevishwa pete ya uchumba hivi karibuni na mchumba wake wanotarajia kufunga ndoa hivi punde.
Hii ndo pete aliovishwa mtangszaji wa kipindi cha Bongo beat cha Star Tv.
Nasibu akiwa na mchumba wake Wema sepetu nao walialikwa .
Mtangazaji wa Luninga Saida mwilima amevishwa pete ya uchumba hivi karibuni na mchumba wake wanotarajia kufunga ndoa hivi punde.
Hii ndo pete aliovishwa mtangszaji wa kipindi cha Bongo beat cha Star Tv.
Nasibu akiwa na mchumba wake Wema sepetu nao walialikwa .