Kijakazi
JF-Expert Member
- Jun 26, 2007
- 6,398
- 8,883
Hapo umechemka unawezaje kumfananisha Wema na Adolf Hitler? Hitler alikuwa genius! Huyu Wema si takataka tu, watu wakiamua kesho anatoka mara moja!Sioni tofauti yoyote kati ya Mwema na Hitler
Hapo umechemka unawezaje kumfananisha Wema na Adolf Hitler? Hitler alikuwa genius! Huyu Wema si takataka tu, watu wakiamua kesho anatoka mara moja!Sioni tofauti yoyote kati ya Mwema na Hitler
Kilio cha mtanzania akiingii kabisa masikioni mwa polisi wetu. Wanatoka kuwaua, kuwatesa, na kuwanyanyasa raia bila sababu. Sijui siku raia watakapowageukia kama DHAIFU atakuwepo kuwatetea?Sijui mpaka lini na kwanini...
Sijui kwanini CDM hadi leo hii hawajaanzisha maandamano ya kumshinikiza Mwema aondoke au aondolewe; hata Bungeni hakunyoshewa kidole yeye mwenyewe na kutaka aondoke.. sijui mpaka nani wa CDM auawe ndio watajua kuwa Mwema na Chagonja ni hatari kwa demokrasia!!! Kutokana na rekodi zao wenyewe inaonekana wamejifanya kuwa ni maadui wa kudumu wa haki za kiraia na haki za binadamu. Wazo kuwa wananchi wana haki ya kuandamana kuipinga serikali yao au uongozi wa walio madarakani halijawaingia kabisa kichwani! Wako kama maafisa wa kizungu wa wakati wa mkoloni ambao walijaribu kuzima maandamano yaliyoongozwa na Mwalimu Nyerere au wale waliowafunga kina Makange! Hawana tofauti!
Nashukuru MM kwa hekima yako, maana ningekuwa mie ningekuwa nimekwisha muasi MUNGU kwa matusi.
Sijui mpaka lini na kwanini...
Sijui kwanini CDM hadi leo hii hawajaanzisha maandamano ya kumshinikiza Mwema aondoke au aondolewe; hata Bungeni hakunyoshewa kidole yeye mwenyewe na kutaka aondoke.. sijui mpaka nani wa CDM auawe ndio watajua kuwa Mwema na Chagonja ni hatari kwa demokrasia!!! Kutokana na rekodi zao wenyewe inaonekana wamejifanya kuwa ni maadui wa kudumu wa haki za kiraia na haki za binadamu. Wazo kuwa wananchi wana haki ya kuandamana kuipinga serikali yao au uongozi wa walio madarakani halijawaingia kabisa kichwani! Wako kama maafisa wa kizungu wa wakati wa mkoloni ambao walijaribu kuzima maandamano yaliyoongozwa na Mwalimu Nyerere au wale waliowafunga kina Makange! Hawana tofauti!
Kuwa familia moja sio kosa na wala sidhani kama watu wana-object hilo, tatizo linakuja kwenye uwajibikaji na kama undugu/ukaribu unaonekana kuwa kinga dhidi ya maovu. Ni hivi majuzi rais wa Liberia amemsimamisha mwanae kazi. Can we do that here?
Hapo umechemka unawezaje kumfananisha Wema na Adolf Hitler? Hitler alikuwa genius! Huyu Wema si takataka tu, watu wakiamua kesho anatoka mara moja!
shut up ritz huna jipya tumwa la mashetani ccmnani kamuolea mwenzake?
Unamaanisha shemeji yake amfukuze shemeji yake..!? Kama unashindwa kumfukuza rafiki pamoja na maufisadi yote yale ataweza kumtimua kazi shemeji?Kuwa familia moja sio kosa na wala sidhani kama watu wana-object hilo, tatizo linakuja kwenye uwajibikaji na kama undugu/ukaribu unaonekana kuwa kinga dhidi ya maovu. Ni hivi majuzi rais wa Liberia amemsimamisha mwanae kazi. Can we do that here?
Nikikumbuka msemo maarufu wa mchungaji Martin Niemöller (1892–1984) usemao "First they came…" naona watanzania tumelala!... Mchungaji martin alisema: ...............First they came for the communists, ............and I didn't speak out because I wasn't a communist. .............Then they came for the Jews, ..........and I didn't speak out because I wasn't a Jews. ...........Then they came for the trade unionists, ................and I didn't speak out because I wasn't a trade unionist. .............Then they came for me, ...........and there was no one left to speak for me. ....................................... Sasa maneno haya yanatimia kwetu!!!!
sijui mpaka nani wa CDM auawe ndio watajua kuwa Mwema na Chagonja ni hatari kwa demokrasia!!!
Sijui mpaka lini na kwanini...
Sijui kwanini CDM hadi leo hii hawajaanzisha maandamano ya kumshinikiza Mwema aondoke au aondolewe; hata Bungeni hakunyoshewa kidole yeye mwenyewe na kutaka aondoke.. sijui mpaka nani wa CDM auawe ndio watajua kuwa Mwema na Chagonja ni hatari kwa demokrasia!!! Kutokana na rekodi zao wenyewe inaonekana wamejifanya kuwa ni maadui wa kudumu wa haki za kiraia na haki za binadamu. Wazo kuwa wananchi wana haki ya kuandamana kuipinga serikali yao au uongozi wa walio madarakani halijawaingia kabisa kichwani! Wako kama maafisa wa kizungu wa wakati wa mkoloni ambao walijaribu kuzima maandamano yaliyoongozwa na Mwalimu Nyerere au wale waliowafunga kina Makange! Hawana tofauti!
tatizo nafasi akishika muislamu mnaweka majungu sana.IGP mwema big up mkuu kwa kazi nzuri.
Hapo naomba nipingane na wewe, toka mwema ameingia jeshi la polisi limekuwa la hovyo haijapata kutokea. Rushwa inachukuliwa njenje, mtu ukiibIwa huwezi kufikiria kwenda polisi kwani ni kupoteza hela bure. Utendaji wa polisi umekuwa kama wa waganga wa kienyeji baada ya Mwema kuingia na sasa anataka akumbukwe kwa mauaji ya raiaMwema aliingia na focus kubwa kwelikweli ya kufanya/tenda kazi kwa haki sambamba na kuboresha jeshi lenyewe lkn madudu ya wanasiasa waliomteua yamembadili kabisa