DALLAI LAMA
JF-Expert Member
- Jan 31, 2012
- 8,651
- 2,627
Let me be guys...
Mh. Si umeckia ulimboka kesharejea? maana nasikitika umekana uhusika wako ktk madaktari kudai maslahi..uliniudhi mh.maalim Kigwa maana huna msimamo.
Let me be guys...
mmh yaani pande zote hawamkubali! hapa kuna tatizo kubwa zaidi.Hata idadi ya kura alizopata alipaswa kuwashukuru waliompigia na si kuanza kunung'unika. Wapinzani wengi walikuwa wakimpigia debe Mtanda. Akina Nasari na Sugu nimewaona asubuhi wakimsaidia kugawa vipeperushi.
Namaanisha ulaji haukutoshani KURA sio KULA!
Mungu hayupo na wanafiki.
Huyu jamaa sijui ataishia wapi maana mwisho kwenye udaktari hatakuwepo na kwenye siasa hatakuwepo.