ZeMarcopolo
Platinum Member
- May 11, 2008
- 14,017
- 7,220
Leo Bunge la Jmahuri ya Muungano kwa sauti ya kishindo limempitisha mwanadiplomasia mbunge wa jimbo la Mchinga mhemishimiwa Said Mtanda kuwa mbunge wa Bunge la Afrika.
Mheshimiwa Mtanda baada ya kupata ushindi huo alikuwa na machache tu ya kusema "Nitawawakilisha vema kwenye bunge la Afrika"
Kinyume na maneno hayo machache ya mwanadiplomasia Mtanda, ambaye inaaminika kuwa busara zake na uzoefu wa taaluma ya diplomasia ndivyo vilivyomuwezesha kuwashawishi wabunge wenzake wamchague kwa kishindo, mgombea aliyeangushwa, mhe. Hamis Kigwangwallah, alikuwa na mengi ya kuongea.
"Siwezi jaribu tena! I will never try the impossible! This time I was checking out and have received the response! Sipendwi na wenzangu...I thought wamenisamehe kwa kosa la kusema ukweli na kuwa na misimamo mikali kwenye issues...
kukata tamaa is not in my vocabulary...mapambano ndiyo kwanza yanaanza!
Wanapenda mtu wa ndiyo na mimi bahati mbaya sana siko hivyo, so siwezi kushinda uchaguzi ndani ya Bunge hata siku moja maana si-conform to the 'yes norm'
Ila nimepigwa kampeni chafu sana na watu wakubwa kabisa na nilijua wazi kuwa my chances were slim...na kampeni zenyewe zililenga kunichafua kuhusiana na msimamo wangu kuhusu haki na maslahi ya madaktari na sekta ya afya kwa ujumla. na pia kwenye sekta ya madini na harakati zangu za kudai haki za wananzega...nimesulubiwa kwa haya. namshukuru Mungu nimejifunza...japokuwa kwa machungu, na sasa sintotetereka tena, naijua nafasi yangu ndani ya CCM na miongoni mwa wabunge wenzangu
Nasikitika kwamba CCM imekosa watu makini wa kuelewa umuhimu na faida ya kuwa na vijana makini kama mimi na uwezo wetu wa kujenga hoja na kuweka misimamo yenye kuleta mafanikio kama ilivyojionesha, nadhani tunakoelekea si kuzuri sana ..."
Source: http://williammalecela.blogspot.cz/2012/08/mbunge-wa-nzega-apigwa-chini-bungeni-leo.html
My take: Hongera mh. Mtanda, hongera mh. Kigwangwallah, demokrasia imeshinda.
Mheshimiwa Mtanda baada ya kupata ushindi huo alikuwa na machache tu ya kusema "Nitawawakilisha vema kwenye bunge la Afrika"
Kinyume na maneno hayo machache ya mwanadiplomasia Mtanda, ambaye inaaminika kuwa busara zake na uzoefu wa taaluma ya diplomasia ndivyo vilivyomuwezesha kuwashawishi wabunge wenzake wamchague kwa kishindo, mgombea aliyeangushwa, mhe. Hamis Kigwangwallah, alikuwa na mengi ya kuongea.
"Siwezi jaribu tena! I will never try the impossible! This time I was checking out and have received the response! Sipendwi na wenzangu...I thought wamenisamehe kwa kosa la kusema ukweli na kuwa na misimamo mikali kwenye issues...
kukata tamaa is not in my vocabulary...mapambano ndiyo kwanza yanaanza!
Wanapenda mtu wa ndiyo na mimi bahati mbaya sana siko hivyo, so siwezi kushinda uchaguzi ndani ya Bunge hata siku moja maana si-conform to the 'yes norm'
Ila nimepigwa kampeni chafu sana na watu wakubwa kabisa na nilijua wazi kuwa my chances were slim...na kampeni zenyewe zililenga kunichafua kuhusiana na msimamo wangu kuhusu haki na maslahi ya madaktari na sekta ya afya kwa ujumla. na pia kwenye sekta ya madini na harakati zangu za kudai haki za wananzega...nimesulubiwa kwa haya. namshukuru Mungu nimejifunza...japokuwa kwa machungu, na sasa sintotetereka tena, naijua nafasi yangu ndani ya CCM na miongoni mwa wabunge wenzangu
Nasikitika kwamba CCM imekosa watu makini wa kuelewa umuhimu na faida ya kuwa na vijana makini kama mimi na uwezo wetu wa kujenga hoja na kuweka misimamo yenye kuleta mafanikio kama ilivyojionesha, nadhani tunakoelekea si kuzuri sana ..."
Source: http://williammalecela.blogspot.cz/2012/08/mbunge-wa-nzega-apigwa-chini-bungeni-leo.html
My take: Hongera mh. Mtanda, hongera mh. Kigwangwallah, demokrasia imeshinda.