Dr.kigwa hajajua tu watu wanataka nini,alipoanza kutaja maelimu yake kwa mbwembwe nikajua tu lazima atapigwa chini.
Said Mtanda aibuka kidedea kwenye uchaguzi mdogo uliofanyika hivi punde bungeni kuwania nafasi ya ujumbe katika bunge la Africa.
Said Mtanda kapata votes 142 viz a viz Hamisi Kigwangalla with 76 votes.
Source: Toka Bungeni Live
Elimu yenyewe katumia majina ya watu badala ya jina lake la Said Bangile
Mkuu kuna thread kibao ambazo zilitoka siku za nyuma zimemuelezea sana huyu jamaa Hebu jaribu kusearch utamfahamu huyu jamaa vizuri sana mkuu wanguPrecise Pangolin embu tupe data zaidi za huyu Saidi Bangile maana twahitaji kujua...hadi ilipotokea kabadili jina. Nilisikia hata Mwigulu sio jina lake halisi???
Mkuu fuatilia thread hiiPrecise Pangolin embu tupe data zaidi za huyu Saidi Bangile maana twahitaji kujua...hadi ilipotokea kabadili jina. Nilisikia hata Mwigulu sio jina lake halisi???
Mara zote uwa nasema huyu Kingwangala hana uwezo wa kuwa kiongozi...nadhani angerudi kwenye fani yake ingekuwa bora sana. Maana hata kwenye kura za maoni 2010 alikuwa wa tatu na akapewa bure huo ubunge. Sasa kwa mtu kama huyu unategemea kuwa anaweza pambana na mtu aliyeshinda kwenye kura za maoni kwa kura nyingi na akapita kwenye ubunge kwa kura nyingi? Kingwangala ni mwepesi mno kwenye siasa. Na lile jimbo 2015 alipati tena.