CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,250
- 12,868
pole yake.....
Hii nchi kila mtu ajilinde, polisi ni dhana tu hapa nchini kwetu
home shopping centre ni ya jk, huyo ponjoro ni zuga tu!!!!!!!!!!!
Naona tangu amwagiwe tindikali Saed Kubenea na Tigambwage, basi imekuwa kama ndiyo fashioni hivi sasa. Kila mtu anamwagiwa tindikali. Ni adhabu ya kitoto sana na ya watu wasiokuwa na hata tone la fikra.ndiyo kamwagiwa tindikali?
Dah! bora angekufa tu kumbeni ni MAFYAA hivi!!!!
Mfanyabiashara Said Mohammed Saad wa Home Shopping Center
Dah! bora angekufa tu kumbeni ni MAFYAA hivi!!!!
Mfanyabiashara Said Mohammed Saad wa Home Shopping Center
Hii nchi ipo out of control labda mnasubiri maangamizi muelewe!!