Sahihisho - Gharama za matibabu USA ghali - Kitime/Mke wake

Candid Scope

JF-Expert Member
Nov 8, 2010
11,884
6,885
Gharama za matibabu Marekani ni ghali sana.
Rafiki yangu mke wake alijifunga mwaka mmoja na nusu uliopita, na tangu admitted mpaka kuruhusiwa kutoka ilikuwa siku tatu, iligharibu $ 25,640.
Miaka 8 iliyopita nilipokuwa chuoni Marekani, nililazwa hospitalini kwa siku tano, gharama za matibabu ni $ 15,106.

Kumbuka gharama hizi zililipwa na bima ya afya aliyokuwa nayo huyo rafiki yangu kwa ajili ya kujifungua mke wake, hali kadhalika mimi gharama zangu zililipwa na bima ya afya nilyokuwakuwa nayo kutokana na kwamba baada ya kitabu nilikuwa napiga box. Hali kadhalika watajwa hapo juu walijulikana na status ya usa residential permit status kwa vile walikuwa walipa kodi.

Kwa kesi ya mke wa Kitime sishangai kama iligharibu $ 60,000 kama kweli alitibiwa marekani, kwani wakuja anadaiwa zaidi kuliko mlipa kodi, kama ilivyo kwa wanafunzi International hulipa karo kubwa zaidi kuliko wazawa ambao wanategemewa kulipa kodi wakishaajiriwa. Ila kama alighushi alikuwa hajatibiwa Marekani basi hiyo ni kesi nyingine.
 
Hujaeleweka, wewe hapa umekuja kama mtetezi wa Kitine au Wakili wa Kitine? na Mke wa Kitine alikuwa anatibiwa Marekani au Canada?
 
wewe umeleta huu uzi kumtetea Kitine au? Watu wengine hata muwasafishe vipi hawatakati. Acha kupoteza muda
 
wewe umeleta huu uzi kumtetea Kitine au? Watu wengine hata muwasafishe vipi hawatakati. Acha kupoteza muda

Huyo Kitine simjui iweje nijenge utetezi hapa?
Nilicholeta hapa ni kuwajulisha gharama za matibabu ughaibuni zilivyo ghali. Cha msingi utafiti ufanywe kama matibabu hayo ni kweli yalifanyika au la. Kama yalifanyika gharama hizo sishangai kwani Marekani ni jambo la kawaida kwa mtu ye yote. Ndio maana matibabu Marekani ni bima, binafsi vigumu kumudu.
 
Hujaeleweka, wewe hapa umekuja kama mtetezi wa Kitine au Wakili wa Kitine? na Mke wa Kitine alikuwa anatibiwa Marekani au Canada?

Maudhui ya habari ni kutoa taswira ya gharama za matibabu Marekani na kisha wianisha na gharama alizodaiwa mke wa Kitine.
 
Maudhui ya habari ni kutoa taswira ya gharama za matibabu Marekani na kisha wianisha na gharama alizodaiwa mke wa Kitine.
Unafahamu kwamba kashfa ya Kitine ni kufoji Invoince na kuclaim zaidi ya pesa halisi? hivi mtu wa level ya Mkurugenzi wa Idara ya ujasusi kama Kitine anahitaji utetezi wako au ndio pombe za Weekend zimekulevya mapema?
 
Unafahamu kwamba kashfa ya Kitine ni kufoji Invoince na kuclaim zaidi ya pesa halisi? hivi mtu wa level ya Mkurugenzi wa Idara ya ujasusi kama Kitine anahitaji utetezi wako au ndio pombe za Weekend zimekulevya mapema?

Ninachoongelea hapa ni kuonyesha gharama za matibabu zilivyo juu nchini Marekani, juu ya kukosekana kwa hati halisi ya madai na malipo ya matibabu Marekani mimi sijui. Cha msingi picha ya matibabu marekani ndio hiyo niliyoleta kadiri ya uzoefu wangu. Na kama kweli alitibiwa gharama haziwezi kuwa tofauti na hizo, na kabisa kama alienda kwa Doctor binafsi ni ghali zaidi kuliko kama angeenda Hospitalini.

Hospitali za marekani nyingi vigumu kuingia, kwani zina utaratibu wa mtu uwe na Doctor wako, na ndiye anayekuelekeza hospitali gani uende. Ukienda moja kwa moja hospitalini watakachofanya ni kukutafutia Doctor uende kwake, na kisha ndiye atakayetoa maelekezo ya wapi uende na nini ufanyiwe.
 
Candid Scope nadhani unahitaji Bitter Lemmon kupunguza hizi hangover, hivi unafahamu mke wa Kitime alitibiwa nchi gani?
 
Last edited by a moderator:
Gharama za matibabu Marekani ni ghali sana.
Rafiki yangu mke wake alijifunga mwaka mmoja na nusu uliopita, na tangu admitted mpaka kuruhusiwa kutoka ilikuwa siku tatu, iligharibu $ 25,640.
Miaka 8 iliyopita nilipokuwa chuoni Marekani, nililazwa hospitalini kwa siku tano, gharama za matibabu ni $ 15,106.

Kumbuka gharama hizi zililipwa na bima ya afya aliyokuwa nayo huyo rafiki yangu kwa ajili ya kujifungua mke wake, hali kadhalika mimi gharama zangu zililipwa na bima ya afya nilyokuwakuwa nayo kutokana na kwamba baada ya kitabu nilikuwa napiga box. Hali kadhalika watajwa hapo juu walijulikana na status ya usa residential permit status kwa vile walikuwa walipa kodi.

Kwa kesi ya mke wa Kitime sishangai kama iligharibu $ 60,000 kama kweli alitibiwa marekani, kwani wakuja anadaiwa zaidi kuliko mlipa kodi, kama ilivyo kwa wanafunzi International hulipa karo kubwa zaidi kuliko wazawa ambao wanategemewa kulipa kodi wakishaajiriwa. Ila kama alighushi alikuwa hajatibiwa Marekani basi hiyo ni kesi nyingine.
Candid Scope,
Mkewe Kitine hakutibiwa bali aliforge receipts ili kuiba hizo dola 60,000.

Hapo ana makosa ya ku forge documents za hospital na kutuibia dola 60,000.
 
Nadhani hamjapata maudhui ya habari, sipingani na hoja yenu ya kufoji hati za madai na malipo, hapa nimeonyehs a gharama za matibabu huko nje zilivyo juu. Suala la kufoji hati za madai na malipo sijaliongelea mimi, hilo ni jambo la kujenga hoja nyingine ya kashfa hiyo. Hapa nimejaribu kuonyesha gharama za matibabu zilivyo kwani wengine wanaona hizo gharama ni juu mno wakifanya upembuzi kwa kigezo cha matibabu ya hospitali za Tanzania.
 
Candid Scope,
Mkewe Kitine hakutibiwa bali aliforge receipts ili kuiba hizo dola 60,000.

Hapo ana makosa ya ku forge documents za hospital na kutuibia dola 60,000.
MICHAEL OKEMA
Why Taking State Money is a 'Light Offence'


HOW do we describe this now? Here is a fraud case. It is uncovered, then a cover-up is attempted. The nearest I can get to as an example is the Watergate Scandal, which led to US president Richard Nixon's exit from the White House.
In our particular case, Ms Saada Mkwawa Kitine, wife of Dr Hassy Kitine, Member of Parliament for Makete, in Iringa region, was alleged to have obtained money from the government of Tanzania to the tune of US $63,000 (Tsh 63 million) ostensibly to pay for medical treatment abroad.

Verification by the government failed to show that the money was indeed used for treatment. Ms Saada was therefore asked to refund the money to the Ministry of Health. Dr Kitine resigned as Minister of State in the President's Office and it looked as though matters would soon be laid to rest.

In July 2002, the Parliamentary Accounts Committee (PAC), with Richard Ndassa, MP on ruling CCM ticket as the acting chair, was said to have written a letter to the Ministry of Health instructing it not only to waive repayment by Ms Saada, but to return to her the Tshs 15 million ($15,000) she had already repaid as part of the refund.

It was at this point that Dr Kitine expressed, through the press, relief that his family's image had been cleared. He then remarked that some of the ministers were not helpful to the president in the fight against corruption. This caused an up-roar within the government, in Parliament and within the ruling party with everyone crying for evidence from Dr Kitine.

It turned out that the said clearance for Ms Saada Kitine from PAC was yet another forgery. Parliament then decided that Mr Ndassa who, in an acting capacity, chaired the PAC meeting alongside Dr Aman Kabourou, the actual Chairman of PAC at the time, be held accountable. Thus Mr Richard Ndassa, Dr Aman Kabourou and Dr Hassy Kitine were suspended from parliamentary sessions for two months.

A number of interesting issues arise out of the Kitine case. First, let us note that the Kitines were not facing any legal action for the initial controversy over the medical treatment money. All they were required to do was make a refund. Is this the normal practice or the exception to the rule? If it is the rule, how much is the government losing in the same way? If it is the exception, what is the basis for that exception?

Next we note that the issue of the forged pardon came out in the open after Dr Kitine had disclosed it in public. There is always the possibility that had he kept quiet, the world might never have known about the forgery. Then, the family would be exempt from even having to refund the government.

Dr Kitine made allegations in public about corruption, yet he had to resign as minister and is now suspended from parliamentary sessions for those same reasons. This is interesting because it shows that even those busy pointing out the rot in society, may not themselves be as clean. Take note, too, that parliamentarians thought the initial punishment of a six-month suspension for Dr Kitine, Mr Ndassa and Dr Kabourou was too severe for the offence committed.

So a double forgery is still a light offence! Or is it a question of avoiding hypocrisy? Yes, it could be some form of negative honesty: why should I rejoice at the misfortune of a colleague? Tomorrow it could be me...

It leaves you wondering who is really clean. May be corruption is no longer an anomaly but a way of life.

Michael Okema is a political scientist based in Dar es Salaam.

E-mail: nnldar@africaonline.co.tz
 
MICHAEL OKEMA
Why Taking State Money is a 'Light Offence'


HOW do we describe this now? Here is a fraud case. It is uncovered, then a cover-up is attempted. The nearest I can get to as an example is the Watergate Scandal, which led to US president Richard Nixon's exit from the White House.
In our particular case, Ms Saada Mkwawa Kitine, wife of Dr Hassy Kitine, Member of Parliament for Makete, in Iringa region, was alleged to have obtained money from the government of Tanzania to the tune of US $63,000 (Tsh 63 million) ostensibly to pay for medical treatment abroad.

Verification by the government failed to show that the money was indeed used for treatment. Ms Saada was therefore asked to refund the money to the Ministry of Health. Dr Kitine resigned as Minister of State in the President's Office and it looked as though matters would soon be laid to rest.

In July 2002, the Parliamentary Accounts Committee (PAC), with Richard Ndassa, MP on ruling CCM ticket as the acting chair, was said to have written a letter to the Ministry of Health instructing it not only to waive repayment by Ms Saada, but to return to her the Tshs 15 million ($15,000) she had already repaid as part of the refund.

It was at this point that Dr Kitine expressed, through the press, relief that his family's image had been cleared. He then remarked that some of the ministers were not helpful to the president in the fight against corruption. This caused an up-roar within the government, in Parliament and within the ruling party with everyone crying for evidence from Dr Kitine.

It turned out that the said clearance for Ms Saada Kitine from PAC was yet another forgery. Parliament then decided that Mr Ndassa who, in an acting capacity, chaired the PAC meeting alongside Dr Aman Kabourou, the actual Chairman of PAC at the time, be held accountable. Thus Mr Richard Ndassa, Dr Aman Kabourou and Dr Hassy Kitine were suspended from parliamentary sessions for two months.

A number of interesting issues arise out of the Kitine case. First, let us note that the Kitines were not facing any legal action for the initial controversy over the medical treatment money. All they were required to do was make a refund. Is this the normal practice or the exception to the rule? If it is the rule, how much is the government losing in the same way? If it is the exception, what is the basis for that exception?

Next we note that the issue of the forged pardon came out in the open after Dr Kitine had disclosed it in public. There is always the possibility that had he kept quiet, the world might never have known about the forgery. Then, the family would be exempt from even having to refund the government.

Dr Kitine made allegations in public about corruption, yet he had to resign as minister and is now suspended from parliamentary sessions for those same reasons. This is interesting because it shows that even those busy pointing out the rot in society, may not themselves be as clean. Take note, too, that parliamentarians thought the initial punishment of a six-month suspension for Dr Kitine, Mr Ndassa and Dr Kabourou was too severe for the offence committed.

So a double forgery is still a light offence! Or is it a question of avoiding hypocrisy? Yes, it could be some form of negative honesty: why should I rejoice at the misfortune of a colleague? Tomorrow it could be me...

It leaves you wondering who is really clean. May be corruption is no longer an anomaly but a way of life.

Michael Okema is a political scientist based in Dar es Salaam.

E-mail: nnldar@africaonline.co.tz


Nadhani hamjapata maudhui ya habari, sipingani na hoja yenu ya kufoji hati za madai na malipo, hapa nimeonyehs a gharama za matibabu huko nje zilivyo juu. Suala la kufoji hati za madai na malipo sijaliongelea mimi, hilo ni jambo la kujenga hoja nyingine ya kashfa hiyo. Hapa nimejaribu kuonyesha gharama za matibabu zilivyo kwani wengine wanaona hizo gharama ni juu mno wakifanya upembuzi kwa kigezo cha matibabu ya hospitali za Tanzania.
 
Nadhani hamjapata maudhui ya habari, sipingani na hoja yenu ya kufoji hati za madai na malipo, hapa nimeonyehs a gharama za matibabu huko nje zilivyo juu. Suala la kufoji hati za madai na malipo sijaliongelea mimi, hilo ni jambo la kujenga hoja nyingine ya kashfa hiyo. Hapa nimejaribu kuonyesha gharama za matibabu zilivyo kwani wengine wanaona hizo gharama ni juu mno wakifanya upembuzi kwa kigezo cha matibabu ya hospitali za Tanzania.
Usitufundishe namna ya kuanalyse mambo, wewe kama unataka kuwaeleza watu kwamba Marekani matibabu ni gharama anzisha thread nyingine na isihusishe jina la Kitine. Acha kutuchanganya hapa, kwani Marekani umekwenda peke yako!! hovyooo!!...
 
Usitufundishe namna ya kuanalyse mambo, wewe kama unataka kuwaeleza watu kwamba Marekani matibabu ni gharama anzisha thread nyingine na isihusishe jina la Kitine. Acha kutuchanganya hapa, kwani Marekani umekwenda peke yako!! hovyooo!!...

Jamii forums inasifa zote za kuelimishana, kupashana habari, kukenuana meno, kuonyeshana vidole nk. Kama hujamwelewe mtoa mada kaa kando wengine wenye kutaka kufanya upembuzi yakinifu watakapita kile wanachotaka kufahamu. Usichotaka wewe wengine wanataka.

Nimeshakueleza hapa sina mada ya kupinga ufojaji wa hundi za madai/malipo ya mke wa Kitine, hapa nimejenga hoja ya kuelewa gharama za matibabu nje zilivyo kwa kukokotoa mifano halizi ya waliotibiwa huko. Hii ndiyo hoja niliyoleta. Kama huyo Kitine na mke wake walifoji hilo ni jambo lingine ambalo mie sikulileta hapa.

Na jambo la msingi jazba tuweke kando tujadili maudhui ya mada iliyoletwa ndi ustaarabu.
 
Kitine na matibabu ya mkewe hii habari ishachacha kama sio kuoza

Wakianika hapa matibabu ya mawaziri huko India mtaona ya Kitine na mke wake ni nafuu, ila serikali inaficha hayo, ipo siku yataanikwa tutaachama vinywa vyetu kwa mshangao.
 
Back
Top Bottom