Mchochezi
JF-Expert Member
- Feb 29, 2012
- 10,413
- 6,570
jamaa anaitwa Manute Bol, mcheza kikapu mrefu kuwahi kutokea ktk ligi ya NBA pale marekani. Jamaa alicheza miaka ya 80 na 90 alikuwa ni Msudani, alifariki mwaka 2010.View attachment 66098View attachment 66099View attachment 66100View attachment 66101View attachment 66102View attachment 66102