Ziada Mwana
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 201
- 22
Japo ni rahisi kwa ngamia kupenya katika tundu la sindano, kuliko chadema........................! Basi nilikuwa najaribu kujifurahisha tu kwa kupanga hiyo safu yao ya uongozi. Kwa kuwa hivi sasa lema ndio maarufu zaidi ya slaa (kizungumkuti cha arusha) safu itakuwa kama hivi. Rais= lema, waziri mkuu = slaa, biashara na viwanda = mbowe, maliasili na utalii = zitto, fedha = shibuda (no huyu amewanyea hawampi kitu), fedha = mnyika, mambo ya nje = lissu, wameisha duuu! Wizara nyingi zimebakia. Sijui niwaweke wale madiwani kule arusha? Bado wakuu wa mikoa, mabalozi,manaibu waziri. Chadema haina sifa ya kuongoza nchi.