Wanajamvi,
Tupange safu ya viongozi ambao wataiweka nchi katika mstari. Ikiwezekana fasu ikikamilika apewe Mh. Rais anayemaliza muda wake.
Rais ajaye: Edward Lowassa
Vice president: Gharibu Bilali
Prime minister:John Pombe Magufuli
Waziri wa Ujenzi:Mwakyembe
Waziri wa Sheria na Katiba: Tundu Lissu( atakuwa ameshahamia CCM)
Waziri wa Fedha: Zitto Kabwe
hebu tupeane mawazo hapa mbona nchi itanyooka...
Mbowe apewe michezo
Slaa: wizara ya Mahusiano
Tupange safu ya viongozi ambao wataiweka nchi katika mstari. Ikiwezekana fasu ikikamilika apewe Mh. Rais anayemaliza muda wake.
Rais ajaye: Edward Lowassa
Vice president: Gharibu Bilali
Prime minister:John Pombe Magufuli
Waziri wa Ujenzi:Mwakyembe
Waziri wa Sheria na Katiba: Tundu Lissu( atakuwa ameshahamia CCM)
Waziri wa Fedha: Zitto Kabwe
hebu tupeane mawazo hapa mbona nchi itanyooka...
Mbowe apewe michezo
Slaa: wizara ya Mahusiano