Konya JF-Expert Member Jun 4, 2011 921 114 Jun 11, 2012 #4 dogo kaamua ajisevie mwenyewe ila sipati picha dogo atakua katika hali gani endapo huyo mnyama akianza kurusha mateke
dogo kaamua ajisevie mwenyewe ila sipati picha dogo atakua katika hali gani endapo huyo mnyama akianza kurusha mateke
ntamaholo JF-Expert Member Aug 30, 2011 12,906 6,909 Jun 11, 2012 #5 sister said: mama yake yuko wapi? Click to expand... mtoto mkubwa huyo mama yake wa nini?, anachofanya anapata vitu from original source.
sister said: mama yake yuko wapi? Click to expand... mtoto mkubwa huyo mama yake wa nini?, anachofanya anapata vitu from original source.
ntamaholo JF-Expert Member Aug 30, 2011 12,906 6,909 Jun 11, 2012 #6 mbuzi mzee said: Click to expand... halafu ni mwanachama wa cuf-ngangari. Huoni vazi lake?
Ndahani Platinum Member Jun 3, 2008 18,119 9,049 Jun 11, 2012 #7 Kama Ng'ombe mgonjwa na mtoto naye atakuwa mgonjwa. Pamoja na kuelimika bado kuna jamii zinaona hilo sio tatizo?
Kama Ng'ombe mgonjwa na mtoto naye atakuwa mgonjwa. Pamoja na kuelimika bado kuna jamii zinaona hilo sio tatizo?
MadameX JF-Expert Member Dec 27, 2009 7,792 3,848 Jun 11, 2012 #9 Duuh fresh ya shamba, lakini pia muhimu kuchemsha kabla ya kunywa!
roby2006 JF-Expert Member Sep 30, 2011 421 113 Jun 11, 2012 #10 Anjiamini na hiyo kitu aliyovaa hapo shingoni Konya said: dogo kaamua ajisevie mwenyewe ila sipati picha dogo atakua katika hali gani endapo huyo mnyama akianza kurusha mateke Click to expand...
Anjiamini na hiyo kitu aliyovaa hapo shingoni Konya said: dogo kaamua ajisevie mwenyewe ila sipati picha dogo atakua katika hali gani endapo huyo mnyama akianza kurusha mateke Click to expand...
Ngangasyonga JF-Expert Member Sep 13, 2010 455 70 Jun 11, 2012 #11 Mbuzi mzee, toka umenza kupost vitu humu mimi sijafanikiwa kuviona, nadhani kunakitu unatakiwa kufanya huko kwako wakati wa kupost mkuuu!! usininyime vitu ati!
Mbuzi mzee, toka umenza kupost vitu humu mimi sijafanikiwa kuviona, nadhani kunakitu unatakiwa kufanya huko kwako wakati wa kupost mkuuu!! usininyime vitu ati!