Safari za Kikwete zazaa matunda...

Soma vizuri post yanngu, walikuwepo wa kutoka nchi nyingi na si Merekani tu na waliletwa na Serikali ya Uingereza iliyokuwa inaendesha Tanganyika wakati huo.

Nakumbuka kuna wakati waliletwa waalimu kutoka Zanzibar, ulikuwepo? au hulijui hilo? Na akaletwa pia Mwaalim wa Mapolisi na Waingereza kutoka Zanzibar akiitwa Zeni Mjasiri, akaamuwa kubaki Dodoma mpaka kufa kwake, unalijuwa hilo?
Nimeshakujibu. Wamarekani hawakuletwa na Muingereza hata siku moja. Waliletwa na makanisa kwenye shule za misheni.
 
Na hayo masomo ya sayansi watafundisha kwa kutumia nini?wakati shule hazina madawati wala madarasa ya kukaa wanafunzi licha ya kuwa na maabara. Mwanafunzi anaambiwa achore kiti anachora tofali manake ndilo alilozoea kukalia kila siku shuleni.

Si zote ambazo hazina maabara na hizo zitapata tu maabara wala usiwe na shaka, kwanza inajengwa shule halafu ndio maabara, ukiwa huna shule maabara utaiweka chini ya mti?

Halafu badala ya nyinyi kukata mapori na kuyafanya kuni si bora muwe mnatengeneza madawati au mnangoja mpaka serikali iwafanyie? ngojeni, bajeti ikiruhusu mtafanyiwa, msiwe na shaka. Sisi tuliwatengenezea watoto zetu madawati na kuwanunulia vitabu na kuajiri waalimu kwa michango yetu tunapeta, nyie ngojeni tu.
 
Ujio wa Peace Corps nalo ni jambo la kunadi oh safari zimezaa matunda. Very embarrasing.
 
duh, ndio matunda aloleta????

Bora nagerudi na maembe boribo tukatengeneza juisi tukanywa nchi nzima.

Yaani unatumia sh. 1000, kwenda marekani, unarudi na walimu ambao gharama ya kuzalisha hao walimu hapa nchini ni kama sh. 700, bado unaona faida.

Hawa walimu si ndio dizaini za akina Ms Lizzy, Mr. shimamula na Mr. Takeuchi??? Havijui lolote, vinaletwa vitoto vilivyomaliza st. Mnyamanyi za huko kuja kujitolea hapa kwetu ili vikue kue kidogo. Lol

matunda indeed!
 
Waalim wa sayansi 47 kutoka USA wameapishwa leo ubalozi wa Merekani. Wamejitolea kuja kufundisha shule za Sekondari za Tanzania baada ya kuombwa rasmi na Mheshimiwa Rais Kikwete.

Ahsante Kikwete. Inanikumbusha wakati nasoma, enzi hizo, tulikuwa na Waalim kutoka Australia, India, Uingereza kwa uchache na mambo yallikuwa swaafi kabisa,

Hii ni fursa kubwa kwa Waalim wetu kujifundisha mbinu za wenzetu nasi kuwaonesha uwezo wetu nao wajifunze kutoka kwetu.

Haya wanafunzi, kazi kwenu na Mungu awasaidie muwe wanafunzi wazuri wa kuigwa na hawa Wamerekani wapeleke salaam njema kwao ili waje na wengine wanaosuasua.
Hivi unawezaje kwenda kuomba walimu badala ya kuimarisha vyuo na taaluma nchini kwako? Watanzania tuache kabisa kushabikia ujinga. Huyu mbaywayu anatuaibisha sana. Dhahabu unagawa bure. Tanzanite inazolewa kama maji. Wanyama pori wanaondoka kila siku. Shule hazina hata dawati la maana. Hospital, madaktari, waalimu, hakuna kitu. Eti unaenda kuomba waalimu Marekani? Shenzi sana Kikwete na ujinga wako. Nafikiri inabidi tumwondoe huyu jinga kwenye office. Tunavyosubiri ni kadiri hiyo hiyo tunavyozidi kuangamia. Tuache kushabikia ujinga. Tufikiri kama watanzania tena wazalendo. Ujinga ni mama wa matatizo mengi sana kati yetu.
 
Mmeisahau ahadi ya Kikwete bungeni? DODOMA, 18 NOVEMBA 2010

6.Kuweka mkazo sasa kwenye kuboresha elimu ya msingi na sekondari, na kupanua elimu ya ufundi na elimu ya juu, hasa katika masomo ya sayansi.

Kwi kwi kwi teh teh teh.

Na wapo wanaokuja kutoka India hivi karibuni.
 
Nyie mnafundishwa kukaririshwa wenzenu wanafundishwa kuelewa. Ndio maana mpaka leo mko dunia ya tatu kwa kuwa hamuelewi.

sasa watafundisha wanafunzi wa kimarekani au wa kitanzania..je watalipwa kwa mshahara wa kibongo au wanalipwa na obama..je hivi unaamini tanzania hatuna waalimu wa kufundisha sayansi?
 
Hivi unawezaje kwenda kuomba walimu badala ya kuimarisha vyuo na taaluma nchini kwako? Watanzania tuache kabisa kushabikia ujinga. Huyu mbaywayu anatuaibisha sana. Dhahabu unagawa bure. Tanzanite inazolewa kama maji. Wanyama pori wanaondoka kila siku. Shule hazina hata dawati la maana. Hospital, madaktari, waalimu, hakuna kitu. Eti unaenda kuomba waalimu Marekani? Shenzi sana Kikwete na ujinga wako. Nafikiri inabidi tumwondoe huyu jinga kwenye office. Tunavyosubiri ni kadiri hiyo hiyo tunavyozidi kuangamia. Tuache kushabikia ujinga. Tufikiri kama watanzania tena wazalendo. Ujinga ni mama wa matatizo mengi sana kati yetu.

Kuna wakati ambao Tanzania inapata vyuo vya aina zote vingi na kuboreshwa kama huu wa Kikwete? umelala upo macho? Bila kuwaleta waliokuzidi kielimu kukufundisha unafikiri utaelimika? kwa lipi jipya? Wakati wa Kikwete ni wastani wa zaidi ya vyuo vikuu viwili kila mwaka. Upo hapo ulipo? ni nani mwingine aliyefanya hivyo?
 
Ndiyo maandalizi ya kureplace watakao goma?hao wanafundishwa lugha inapanda?au ndo sifa za kijinga?

Kama haipandi watafundishwa ndio maana ya kuwa wanafunzi, hawakuzaliwa wanajuwa kila kitu. Muhimu ni kuwapa fursa ya kujifunza.
 
Watu kama nyinyi ndio mnazidi kumdhalilisha JK. Sasa suala la waalimu wa internship hao unasema JK safari zake zimeleta matokeo? Hili ni suala la wizara tu kuomba wanapata kibao, ukienda KOICA pale hata mkurugenzi wa idara fulani akiomba hao wa internship wanakuja kibao. Ni programu za mashirikiano ambazo zipo nenda rudi. Watu kama nyinyi mnazidi kumuangamiza huyu jamaa.
 
Naona mnahanikwa na roho zenu kuona JMK anapeta na kuongeza elimu kwa spidi zaidi.

Kuna Waalimu wa IT wanakuja moja kwa moja kutoka kwa Bill Gates watakuwa pale Dodoma, unalijuwa hilo?

kama unauwezo wa kuelewa, unielewe kuwa tutafanikiwa zaidi ikiwa na nafasi yake (jk) tumpe mzungu mmoja kati ya hao unaowasifia ubora, ili ubora uanzie magogoni!!!!!
 
Watu kama nyinyi ndio mnazidi kumdhalilisha JK. Sasa suala la waalimu wa internship hao unasema JK safari zake zimeleta matokeo? Hili ni suala la wizara tu kuomba wanapata kibao, ukienda KOICA pale hata mkurugenzi wa idara fulani akiomba hao wa internship wanakuja kibao. Ni programu za mashirikiano ambazo zipo nenda rudi. Watu kama nyinyi mnazidi kumuangamiza huyu jamaa.

Mkuu ndo upeo wao ulipoishia hapo! kazi tunayo watanzania!
 
kama unauwezo wa kuelewa, unielewe kuwa tutafanikiwa zaidi ikiwa na nafasi yake (jk) tumpe mzungu mmoja kati ya hao unaowasifia ubora, ili ubora uanzie magogoni!!!!!

Ubora wa mgogoni uliopo sasa hauhitaji mzungu. Nyerere alikuwa na mzungu anamfundisha kazi miaka yote pale Ikulu, alileta ubora upi? hata shule zilimshinda kujenga. Wakati wake wote shule za sekondari hazizidi 100 mpya. Kikwete ni shule zaidi ya 4000 kwa miaka 7 tu. Upo hapo ulipo?
 
Waalim wa sayansi 47 kutoka USA wameapishwa leo ubalozi wa Merekani. Wamejitolea kuja kufundisha shule za Sekondari za Tanzania baada ya kuombwa rasmi na Mheshimiwa Rais Kikwete.

Ahsante Kikwete. Inanikumbusha wakati nasoma, enzi hizo, tulikuwa na Waalim kutoka Australia, India, Uingereza kwa uchache na mambo yallikuwa swaafi kabisa,

Hii ni fursa kubwa kwa Waalim wetu kujifundisha mbinu za wenzetu nasi kuwaonesha uwezo wetu nao wajifunze kutoka kwetu.

Haya wanafunzi, kazi kwenu na Mungu awasaidie muwe wanafunzi wazuri wa kuigwa na hawa Wamerekani wapeleke salaam njema kwao ili waje na wengine wanaosuasua.
Mmmmh kweli Watanzania kuendelea ni mpaka kizaki hiki cha laan kiondelewe na moto tena inampasa mwasha moto akifanye kiwe KUNI kiwe cha kwanza kuungua.....Hivi kweli ni jambo la kujivunia kupata msaada wa waalimu tena 47? Shame on you all mnaofurahia ujinga huu. Kwamba tumeshindwa zalisha waalimu wa kutosha,kuwajengea mazingira mazuri waipende kazi hiyo? Ni mpuuzi tu kama wewe na wote wenye MAKENGEZA ndio watafurahia kusikia hilo. Yaani even after miaka yote hiyo tangu uhuru still watu wewe tuna mawazo mgando kama hayo? E MOLA TUONDOLEE LAANI HII....HAKIKA HATA KAMA ATAKUJA YESU/NABII ISA ama nani kwa UMAKENGEZA HUO...hatutafanikiwa.....Natamani kutukana lakini...... Kifupi hao jamaa ni watupu ile mbaya, nilipata fundishwa na Dr by pHD Chemistry..ilikuwa aibu tupu...alikacha mapnindi akaanza tufundisha ujasusi....Kila kukicha picha za kwao na ***** wa ki.....
1.Ni vile hujui tu, ni gharama ile mbaya kumhudumia huyo mwl/tena si mwl kweli ila ni watu wanajitolea/wengine huja kama adhabu kwa kuwa wamefanya makosa(criminal) so kuja huku ni kutumikia adhabu walopewa na mahakama.
2.Halafu hawawezi kufundisha kwani mitaala ya kwetu ni unique, madude anayosoma dent kidato cha tano na sita ni sawa na watu wa high learning,tena kwa level za masters...
Poleni Watanzania kwa mawazo ya akina ZOMBA....TUNA KAZI KUBWA KULIKOMBOA TAIFA HILI....
 
Waalim wa sayansi 47 kutoka USA wameapishwa leo ubalozi wa Merekani. Wamejitolea kuja kufundisha shule za Sekondari za Tanzania baada ya kuombwa rasmi na Mheshimiwa Rais Kikwete.

Ahsante Kikwete. Inanikumbusha wakati nasoma, enzi hizo, tulikuwa na Waalim kutoka Australia, India, Uingereza kwa uchache na mambo yallikuwa swaafi kabisa,

Hii ni fursa kubwa kwa Waalim wetu kujifundisha mbinu za wenzetu nasi kuwaonesha uwezo wetu nao wajifunze kutoka kwetu.

Haya wanafunzi, kazi kwenu na Mungu awasaidie muwe wanafunzi wazuri wa kuigwa na hawa Wamerekani wapeleke salaam njema kwao ili waje na wengine wanaosuasua.

Kama hayo ndio mafanikio umeyaona inabidi tukupeleke milembe tukapime brain huenda akili ina hitirafu!
 
teh teh teh...zomba, are you serious on what you say? Ngoja niangalie movie mie maana ndio ile hadithi niliyosimuliwa na shupavu mmoja aliyekuwa anawinda mende na bunduki. Hiyo kazi ya kuleta hao walimu kama kweli ni walimu kama anafanya Rais, wasaidizi wake wa wizara wanafanya kazi gani?
 
Upuuzi mtupu. Ukilinganisha gharama za safari za JK na kile watakachochangia utajua nimaanishacho kwa kusema upuuzi mtupu. Kwani rais ni waziri wa elimu? Hili la kuomba walimu laweza kufanyika hata hapa hapa Dar kupitia ubalozi wa Marekani. Ingawa mleta mada ni shabiki wa JK angetafuta kitu kinachoingia akilini badala ya habari hii ya kidaku na kinazi.
Ushabiki mwingine Bwana, tabu tupu! Mleta mada hii ni mnazi wa JK mwenye kushabikia lolote analolifanya Kikwete hata lisipokuwa na mantiki. Hivi Tanzania hii ina shule ngapi na hao ma-peace corps 45 watasaidia nini katika kubadilisha matokeo hasi katika shule zetu? Pili, hivi hawa ma peace corps watapelekwa mpaka kule kwenye shule zetu za kata ambazo baadhi hazina sakafu, madawati, vyoo, ofisi za chini ya miti na walimu kupanga kwenye nyumba za nyasi na matembe ambako umeme ni kama muujiza wa nane vile?

 
Matunda gani ..zaid ya hasara ametupa huyo mshenzi..muhuni huyo hakuna disco ambaya hajawahi kuingia anafanya kwa siri anawadanganya wajinga wenzake kwamba safari zimezaa matunda
 
Back
Top Bottom