Safari za Kikwete zazaa matunda...

wakati mimi nasoma kwenye shule yetu tulikuwa na mwalimu wa kimarekani mmoja aliekuwa anafundisha maths basi ilipofika kipindi sha mtihani ya kidato cha nne walimu naona wakapewa mtihani huo huo walio fanya wanafunzi...huwezi amini mmarekani alipata 27 huku walimu wa kibongo aliepata marks za chini alipata 85..mmarekani akafukuzwa kwahiyo kikwete usiwaonekama ndiyo tiba ya matatizo yetu..
 
Napita manzese yani mpaka raha naona shell ya mafuta ya lake oil eti ni ya ridhiwan jamani nzuri kweli hili nimeambiwa imejengwa eneo maalum kwa soko la machinga manzese........

CHAMA
SENGEREMA

Walikuingiza mjini! kwi kwi teh teh teh! Hawakukupeleka kuona Ikulu na hospitali ya aga khan pale ufukweni alipoenda kupiga picha mjomba'ko alipoowa?
 
wakati mimi nasoma kwenye shule yetu tulikuwa na mwalimu wa kimarekani mmoja aliekuwa anafundisha maths basi ilipofika kipindi sha mtihani ya kidato cha nne walimu naona wakapewa mtihani huo huo walio fanya wanafunzi...huwezi amini mmarekani alipata 27 huku walimu wa kibongo aliepata marks za chini alipata 85..mmarekani akafukuzwa kwahiyo kikwete usiwaonekama ndiyo tiba ya matatizo yetu..

Nyie mnafundishwa kukaririshwa wenzenu wanafundishwa kuelewa. Ndio maana mpaka leo mko dunia ya tatu kwa kuwa hamuelewi.
 
Waalim wa sayansi 47 kutoka USA wameapishwa leo ubalozi wa Merekani. Wamejitolea kuja kufundisha shule za Sekondari za Tanzania baada ya kuombwa rasmi na Mheshimiwa Rais Kikwete.

Ahsante Kikwete. Inanikumbusha wakati nasoma, enzi hizo, tulikuwa na Waalim kutoka Australia, India, Uingereza kwa uchache na mambo yallikuwa swaafi kabisa,

Hii ni fursa kubwa kwa Waalim wetu kujifundisha mbinu za wenzetu nasi kuwaonesha uwezo wetu nao wajifunze kutoka kwetu.

Haya wanafunzi, kazi kwenu na Mungu awasaidie muwe wanafunzi wazuri wa kuigwa na hawa Wamerekani wapeleke salaam njema kwao ili waje na wengine wanaosuasua.

Mkuu watakashifu ila mioyoni mwao wanaujua ukweli umepiga panapotakiwa.......hongera JK waache wao wanaeneza UMBEA NA UNAFIKI wee piga kazi Mheshimiwa Rais wetu
 
Nimefika sasa njia panda ya mabibo/chama napo nimekuta na shell tena nzuri ya lake oil eti tena ni ya ridhiwani ambayo imejengwa sehem ya soko la machinga urafiki yani jamani nasikia raha utamuuuuuuuuu bado natamba na morogoro road tamuuuuuuuu

CHAMA
SENGEREMA
 
wakati mimi nasoma kwenye shule yetu tulikuwa na mwalimu wa kimarekani mmoja aliekuwa anafundisha maths basi ilipofika kipindi sha mtihani ya kidato cha nne walimu naona wakapewa mtihani huo huo walio fanya wanafunzi...huwezi amini mmarekani alipata 27 huku walimu wa kibongo aliepata marks za chini alipata 85..mmarekani akafukuzwa kwahiyo kikwete usiwaonekama ndiyo tiba ya matatizo yetu..
Na hao waalimu wa Kimarekani waliletwa kutokana na safari za rais wa wakati huo? Maana ndilo hilo hawa majuha wanataka kutuaminisha kuwa bila Kikwete kuweka kiguu njiani tusingepata waalimu.
 
Hapana. Usidanganye hapa. Peace Corps wameanzishwa na marehemu Kennedy. Ungeweza hata ku google kabla ya kuonyesha ujahili wako.

Ulichoshingdwa kuelewa kuwa Waalimu wa Kimerekani walikuwepo Tanzania hata kabla ya Nyerere na Kennedy kuwepo, sasa kama walikuwa hawaitwi peace corps walikuwa wanaitwa vingine, hilo sio tatizo. Soma vizuri, walikuwepo kabla ya Kennedy na Nyerere hapa tuaongelea waalimu na hao peace corps si waalimu pekee.

Nyerere mwenyewe kasomeshwa na Mwalimu wa Kimerekani au na yeye alikuwa wa peace corps?
Usikurupuke utachekwa.
 
Upumbav ni too expensive kuliko hata vogue !! Haya mlizoea kuwaongopea wale mnaowagawia kofia, ubwabwa na kanga mpya wakati unawaona wamechokaaa, miguu na ngozi zimepasukaaa lkn kwa muda huo wanaruka-ruka na Nape na kuimba nyimbo za kumsifia ****** ! Msafara ukiondoka baada ya siku 2-3 na pombe za bure zikiisha, wanaanza kuharisha na kutapika then wanagundua hakuna dawa ktk zahanati na wala hawamwoni tena Nape au Mwigulu akija kuwasaidia ! Lakini sasa wameshtuka hata wao, sasa mtaishia kujiongopea nyie wenyewe na familia zenu, ambazo nazo itafika muda soon nao watawakimbia...!!!

Pole sana, na leo unabatizwa kuwa Zuzu badala ya Zomba :)


Waalim wa sayansi 47 kutoka USA wameapishwa leo ubalozi wa Merekani. Wamejitolea kuja kufundisha shule za Sekondari za Tanzania baada ya kuombwa rasmi na Mheshimiwa Rais Kikwete.

Ahsante Kikwete. Inanikumbusha wakati nasoma, enzi hizo, tulikuwa na Waalim kutoka Australia, India, Uingereza kwa uchache na mambo yallikuwa swaafi kabisa,

Hii ni fursa kubwa kwa Waalim wetu kujifundisha mbinu za wenzetu nasi kuwaonesha uwezo wetu nao wajifunze kutoka kwetu.

Haya wanafunzi, kazi kwenu na Mungu awasaidie muwe wanafunzi wazuri wa kuigwa na hawa Wamerekani wapeleke salaam njema kwao ili waje na wengine wanaosuasua.
 
kikwete fanya vitu vyako, mabarabara umejenga tele, leo tanzania imekuwa kama kijiji, kigoma to Dar ni masaa 12, kupitia daraja malagalasi.
mkigoma

Una uhakika na unachoandika au uko bar nikuhurumie?? unaijua barabara ya kutoka Tabora hadi Kigoma wewe?? unajua kuwa barabara hiyo haijawekwa lami kwa zaidi ya asilimia 78? ni kipande cha kuanzia kigoma hado karibu na Malagarasi pekee ndio chenye lami kama kilomita 60 tu. Kutoka hapo hadi Nguruka-Kaliua-Urambo-Usoke-Lolangulu hadi Tabora Hakuna lami. Kutoka Tabora hadi Itigi hakuna lami na itigi hadi Manyoni hakuna Lami ambapo jumla ni karibu Kilomita 600.

Acha kupotosha hata kama unampenda sana JK lakini usipotoshe. Mie natoka Kigoma naijua njia hiyo vema sana na naipita kila baada ya miezi sita kwa tarifa yako. Hata ukipita njia ya Kahama-Lunzewe-Kibondo -Kasulu hadi Kigoma. Ukishamaliza barabara iendayo Burundi na kuanza kuitafuta Kigoma unaachana na lami kwa zaidi ya kilomita 150 hadi unafika mjini.

Nyonyeza:
Umewahi kusafiri Kigoma-Katavi (Mpanda)-Rukwa (Sumbawanga)? Kuna lami huko?? Je Kigoma-Kasulu-Ngara-Bukoba?? K

Ushauri: Kama hujui kaa kimya. Ficha upumbavu wako,
 
Last edited by a moderator:
Nimefika sasa njia panda ya mabibo/chama napo nimekuta na shell tena nzuri ya lake oil eti tena ni ya ridhiwani ambayo imejengwa sehem ya soko la machinga urafiki yani jamani nasikia raha utamuuuuuuuuu bado natamba na morogoro road tamuuuuuuuu

CHAMA
SENGEREMA
 
Na hayo masomo ya sayansi watafundisha kwa kutumia nini?wakati shule hazina madawati wala madarasa ya kukaa wanafunzi licha ya kuwa na maabara. Mwanafunzi anaambiwa achore kiti anachora tofali manake ndilo alilozoea kukalia kila siku shuleni.
 
Mwajiriwa wetu jk katuonyesha kuwa tunaweza kuwaajiri wazungu kutuendeshea shughuli zetu, basi tunajiandaa kutangaza nafasi ya kazi magogoni, tukimpata vonweiseka atatusaidia kutatua na kamgogoro ka ziwa nyasa. Tutamlipa vizuri, hatkuwa na vitrip vya kifujaji.

. . . . Kwa kila mtanzania!!!!!!!
 
Na hao waalimu wa Kimarekani waliletwa kutokana na rais wa wakati huo? Maana ndilo hilo hawa majuha wanataka kutuaminisha kuwa bila Kikwete kuweka kiguu njiani tusingepata waalimu.

Soma vizuri post yanngu, walikuwepo wa kutoka nchi nyingi na si Merekani tu na waliletwa na Serikali ya Uingereza iliyokuwa inaendesha Tanganyika wakati huo.

Nakumbuka kuna wakati waliletwa waalimu kutoka Zanzibar, ulikuwepo? au hulijui hilo? Na akaletwa pia Mwaalim wa Mapolisi na Waingereza kutoka Zanzibar akiitwa Zeni Mjasiri, akaamuwa kubaki Dodoma mpaka kufa kwake, unalijuwa hilo?
 
Ulichoshingdwa kuelewa kuwa Waalimu wa Kimerekani walikuwepo Tanzania hata kabla ya Nyerere na Kennedy kuwepo, sasa kama walikuwa hawaitwi peace corps walikuwa wanaitwa vingine, hilo sio tatizo. Soma vizuri, walikuwepo kabla ya Kennedy na Nyerere hapa tuaongelea waalimu na hao peace corps si waalimu pekee.

Nyerere mwenyewe kasomeshwa na Mwalimu wa Kimerekani au na yeye alikuwa wa peace corps?
Usikurupuke utachekwa.
Hapana. Usisogeze goal post. Ulichosema ni kwamba peace corps walikuwepo kabla ya utawala wa Kennedy. Stick to the facts. Ni kweli waalimu wa Kimarekani walikuwepo enzi za ukoloni lakini wengi waliletwa na makanisa. Hata mimi nimefundishwa na Wamarekani walioletwa na kanisa lakini hawa hawakuwa peace corps. Kwa ujumla Waingereza hawakupenda kuajiri Wamarekani katika shule za serikali. Aliyekurupuka ni wewe. Teh, teh, teh!
 
Mwajiriwa wetu jk katuonyesha kuwa tunaweza kuwaajiri wazungu kutuendeshea shughuli zetu, basi tunajiandaa kutangaza nafasi ya kazi magogoni, tukimpata vonweiseka atatusaidia kutatua na kamgogoro ka ziwa nyasa. Tutamlipa vizuri, hatkuwa na vitrip vya kifujaji.

. . . . Kwa kila mtanzania!!!!!!!

Naona mnahanikwa na roho zenu kuona JMK anapeta na kuongeza elimu kwa spidi zaidi.

Kuna Waalimu wa IT wanakuja moja kwa moja kutoka kwa Bill Gates watakuwa pale Dodoma, unalijuwa hilo?
 
Back
Top Bottom