Safari za Kikwete nje zimegharimu kiasi gani?

Sidhani kama hakuna kabisa kilichotokea kwenye EPA na BOT - kina mramba na wenzake walifikishwa mahakamani. Kina Liyumba na Kweka wanahaha nje ya BOT sasa hivi. Haijafika mbali ila at least kuna kitu kilifanyika.

Hii safari za Kikwete itakuwa matter of record iwapo itawekwa wazi (kwa kuanzia tu).


Umekumbusha na kesi ya Liyumba.. ukifuatilia mahojiano ya mwanzo ni kwamba Liyumaba ameshashainda kabla kesi haijaisha .. kwa hiyo ni vizuri wananchi wakaandaliwa kisaikolojia wasije kupiga kelele kama kwa Zombe.. ..
 
Kwasababu ni vema pia kulijua hilo, Tusilichukulie hili kama jambo la mzaha mzaha, Nilazima tuliona kama tuna haki nalo, Ni kwafaida na hasara kiasi gani safari za Rais wetu zimetuletea hapa nchini.

Kwa wale wenzetu waishio USA, na nchi za Ulaya wanaweza kutupa tathimini angalau ya safari moja kutoka Tanzania kwa first class hadi USA inagharimu shilingi ngapi kisha tuzidishe na wale wanao ongozana na Rais wetu ,Baada ya hapo tupate gharama za hotel wanazo fikia na kwamuda ule watakaa kaa pale na fedha za chakula na Posho zao.

Am sure the gharama inaweza kujenga Zahanati yenye maabara ya kisasa kabisa au clinic za mama wajawazito za kisasa kabisa kule vijijini..!

Kuna faida gani kwa kugharimia safari za Rais ambazo niza kwenda kutafuta wawekezaji ambao hata kodi hawalipi na wakilipa ndio hizo zipitazo kwenye mikono ya wajanja wachache, mikataba yenye mingine mwaenda kuisainia Ulaya wakati ofisi zenu zipo Tanzania.

Tumekuwa wajinga kwa muda mrefu lakini itafika mahala pakusema inatosha sasa..!
 
Mbona Mugambe hasafiri sana, Mbona Nelson Mandela hakuwa anasafiri sana ? kwanini iwe sisi sisi Watanzania ? Au kwa vile tunajua kusafiri na kwenda kuomba sana ?

Nakumbuka kuna mheshimiwa mmoja alikuwa anapigizana kelele na watu wanaoishi Ulaya kwamba Tanzania ni nzuri na watu wanaishi vizuri kuliko wale waishio huko Ulaya.

Kwanini tunajidanganya ? Kwanini hatuwezi kusimama na kusema ukweli ?

Tanzania watu tunaishi vizuri mijini tu, Tembelea vijijini , Utalia , Hakuna huduma za afya hakuna vyakula vyakutosha ,maji safi hakuna, watu wanaishi kwenye nyumba za udogo tena zile za karne ile ambayo hata mimi siifahamu ,Hili ni Tatizo,Kama hatutoweza kuliona hili kama ni tatizo basi Watanzania hatutoweza kubadirika...Kwa karne tuliyo nayo sasa si Jambo la kufurahia hata kidogo,tumeachwa mbali sana na dunia hii..
 
Swala sidhani kama safari zime gharimu shilingi ngapi. Hilo pia ni muhimu lakini swala la kujiuliza ni safari hizo za nje zimeingizia taifa shilingi ngapi? Je hizo safari zilikua na faida au zilikua upotezaji tu wa vijisenti tulivyo navyo? Cost is not as important as opposed to measuring the gain or loss.
 
Adam wa Lusekelo anasema hivi...

Does Prez Kikwete like hamburgers?

The internet has been white hot with howls of revulsion, from Tanzanians protesting on Prez, Jack Mrisho's latest trip to the USof A. Of course he was accompanied by a posse of 40 guys, who ate, drank and made merry on his name. Kiliofu!

The job of accompanying the prez, is becoming a very lucrative one, if you ask me. Some $300 dollars a day for each of the hangers-on and other assorted officials come to $12,000 a day. Multiply that with 8 days, then you get a hefty $94,000 splashed on this trip. Knowing how these trips work, I would easily write off $500,000 on this latest shopping trip.

The prez also met the world's most powerful man, Barack O, got some award on health, shook Secretary of State, Hillary Clinton's hand and spoke to Tanzanians in LA. Lucky geezers, those Tanzanians in the US of A. they have been the president's audience every time (and not once or twice) the president visited the States. To the chagrin of Tanzanians in Tanzania.
Tanzanians at home are said to be green with envy. They can't see him at home because the president is busy traveling. But now it's getting increasingly clear that if the wananchi want to see their president they will have to travel to the US of A. This will be at their own expense and no $300 dollars a day will be given to them.
Those grumbling against our benevolent president say the medical award could easily and much less expensively have been picked up by the minister of health.
But, that idea is quickly shot down by the battalion sized delegation which accompanied him. Tanzania has benefited tremendouslyfrom the visit. The Prez was the first African ruler to have a sniff at Barack O's after-shave. They also looked good in pictures. Our sources did not say whether they discussed hamburgers or Kentuky chicken.
It is said that the battalion sized entourage have just benefited handsomely when the prez went for a tour in Araby only a monthago. The grapevine in Dar says nearly all of them bought brand new cars and mountains of goods which were imported gratis. Kiliofu!
It's a great job being part of the posse. If a guy is going to travel around for 20 days of every month, then that is great money. If you can import and flog off anything you want after buying it abroad, then long live the president!
Tanzanians in the net have been asking just where does the money for the jet-setting life comes from? For the travels are getting to be an intolerable and expensive joke.
Or, maybe critics are getting it all wrong. Maybe it is okay for primary schools to go without toilets and books as long as there is money to finance the travels of the mkuu and his gravy train. Who knows?
Some critics have been cheeky. They say it's about time to change and honour the president's penchant for the US of A. Some havesuggested that he be called Amerigo in honour of the man who discovered and charted the mapping of the USA Amerigo Vespucci.
But the name President Amerigo Mrisho Kikwete, just doesn't sound right! Some have called him Vasco Da Gama. Which again doesn't sound right? Vasco Da Gama sailed from Portugal to India to look for spices. What is the Tanzanian president constantly lookingfor, in the USA? Maybe he likes hamburgers.
If that's the case then Bongo ought to talk to McDonalds to produce Big-Macs in Tanzania. One kiosk will be stationed at Ikulu in Dar, another one in Dodoma, one in Msata where the prez is expected to retire, when he retires. Big Macs should also be freelyavailable in the presidential jet. The prez, should also be asked if he likes Kentuky chicken.
Some observers have said that maybe the mkuu simply likes to fly. They have called him the 'Aviator'. Which is also alright. We could ask Americans to build the Tanzanian equivalent of Air Force One.
A flying Ikulu which will be constantly flying the skies of Tanzania and maybe he could also institute a minor cabinet re-shuffle in which he would appoint himself minister of foreign affairs!

Solomon son of David .....

500,000 us dollars?! ni vitu kiasi gani unaweza kununua au kufanya Tanzania kwa hizi pesa?
 
Usiangalie tu kuwa katumia kiasi gani, vile vile angalia kuwa zimeingiza kiasi gani. Nafikiri hicho ndicho cha muhimu sana.

Kwasababu mfanya biashara siku yake huwa si asubuhi, bali jioni wakati anapohesabu faida. Tuishi kiuchumi!

Labda wewe useme ni kiasi gani zimeingiza kama hiyo namba unayo. Na je, una hakika kuwa hizo pesa (kama zipo) zisingetolewa na wafadhili kama VDG asingekwenda huko kufanya umatonya?
 
Back
Top Bottom