Safari za JK na kauli ya Godbless Lema

Lyangalo

JF-Expert Member
Sep 10, 2009
679
234
Wakuu naomba tuunganishe hizi doti:
1. Raisi amekuwa akisafiri sana nje na wakati mwingine bila taarifa za maana. Hata kama hapa nyumbani kuna matitizo makubwa lazima atasafiri achilia mbali mambo anayokwenda kufanya kutokuwa na muhimu au umuhimu wa uwepo wake.
2. Afya yake imekuwa haieleweki. Chukulia ambavyo amekuwa akianguka majukwaani.
3. Kauli ya Mh. Lema kuwa "unaweza kuficha kuzini lakini huwezi kuficha ukiugua ukimwi".
4. Udhaifu katika kushughulikia wezi.
Maswali yangu:
Je kunauhusiano wowote kati ya maradhi ya rais na safari zake? Yawezekana huwa anakwenda kubadili damu!
Je kuna uhusiano wowote kati ya maradhi ya rais na mafisadi? Yawezekana wanamtishia kuyafichua endapo atawatosa?
 
Wakuu naomba tuunganishe hizi doti:
1. Raisi amekuwa akisafiri sana nje na wakati mwingine bila taarifa za maana. Hata kama hapa nyumbani kuna matitizo makubwa lazima atasafiri achilia mbali mambo anayokwenda kufanya kutokuwa na muhimu au umuhimu wa uwepo wake.
2. Afya yake imekuwa haieleweki. Chukulia ambavyo amekuwa akianguka majukwaani.
3. Kauli ya Mh. Lema kuwa "unaweza kuficha kuzini lakini huwezi kuficha ukiugua ukimwi".
4. Udhaifu katika kushughulikia wezi.
Maswali yangu:
Je kunauhusiano wowote kati ya maradhi ya rais na safari zake? Yawezekana huwa anakwenda kubadili damu!
Je kuna uhusiano wowote kati ya maradhi ya rais na mafisadi? Yawezekana wanamtishia kuyafichua endapo atawatosa?


Tukiwakamata mafisadi nchi haitatawalika LOL:pound:
 
Wakuu naomba tuunganishe hizi doti:
1. Raisi amekuwa akisafiri sana nje na wakati mwingine bila taarifa za maana. Hata kama hapa nyumbani kuna matitizo makubwa lazima atasafiri achilia mbali mambo anayokwenda kufanya kutokuwa na muhimu au umuhimu wa uwepo wake.
2. Afya yake imekuwa haieleweki. Chukulia ambavyo amekuwa akianguka majukwaani.
3. Kauli ya Mh. Lema kuwa "unaweza kuficha kuzini lakini huwezi kuficha ukiugua ukimwi".
4. Udhaifu katika kushughulikia wezi.
Maswali yangu:
Je kunauhusiano wowote kati ya maradhi ya rais na safari zake? Yawezekana huwa anakwenda kubadili damu!
Je kuna uhusiano wowote kati ya maradhi ya rais na mafisadi? Yawezekana wanamtishia kuyafichua endapo atawatosa?

Mkuu hii ni nzito sana kumeza, Duh en wei, let's wait waje waseme
 
Rais amesafiri kwa wastani wa tripu/safari 330 tangu aingie madarakani(as per JB). Ukichukua wastani wa siku 3 kwa kila safari, unapata jumla ya siku 990 kwa miaka yake 7 na kitu aliyokaa madarakani. Ukigawa kwa 366 za mwaka mmoja ni sawa na miaka 2.7 akiwa nje ya nchi. Kwa hiyo, rais amekaa nje ya nchi zaidi ya Miaka 2 akifanya kazi ya kuomba omba. Hii ni aibu na udhaifu wa hali ya juu kwa mkuu wa nchi. Hapa hatujagusa gharama alitumia Rais na msfara wake - hata hivyo, si bure sana, tumefaidi neti za mbu za Bush. Huo ndio ukweli, wala hamhitaji kunitumia watu wanaotoa makucha na meno yangu.
 
Huyu hapa anacheza bao na afya yake iko safi kabisa

425570_202198443240309_231657704_n.jpg
 
Wakuu naomba tuunganishe hizi doti:
1. Raisi amekuwa akisafiri sana nje na wakati mwingine bila taarifa za maana. Hata kama hapa nyumbani kuna matitizo makubwa lazima atasafiri achilia mbali mambo anayokwenda kufanya kutokuwa na muhimu au umuhimu wa uwepo wake.
2. Afya yake imekuwa haieleweki. Chukulia ambavyo amekuwa akianguka majukwaani.
3. Kauli ya Mh. Lema kuwa "unaweza kuficha kuzini lakini huwezi kuficha ukiugua ukimwi".
4. Udhaifu katika kushughulikia wezi.
Maswali yangu:
Je kunauhusiano wowote kati ya maradhi ya rais na safari zake? Yawezekana huwa anakwenda kubadili damu!
Je kuna uhusiano wowote kati ya maradhi ya rais na mafisadi? Yawezekana wanamtishia kuyafichua endapo atawatosa?

uwezekano huo upo!!
 
Lema kamanda wetu amejitolea kwa ajili ya kuwakomboa watanzania tumwombe Mungu amulinde kwan mafisadi wanataka wapoteze kwa 7 ya kufichua maovu yao
 
Wakuu naomba tuunganishe hizi doti:
1. Raisi amekuwa akisafiri sana nje na wakati mwingine bila taarifa za maana. Hata kama hapa nyumbani kuna matitizo makubwa lazima atasafiri achilia mbali mambo anayokwenda kufanya kutokuwa na muhimu au umuhimu wa uwepo wake.
2. Afya yake imekuwa haieleweki. Chukulia ambavyo amekuwa akianguka majukwaani.
3. Kauli ya Mh. Lema kuwa "unaweza kuficha kuzini lakini huwezi kuficha ukiugua ukimwi".
4. Udhaifu katika kushughulikia wezi.
Maswali yangu:
Je kunauhusiano wowote kati ya maradhi ya rais na safari zake? Yawezekana huwa anakwenda kubadili damu!
Je kuna uhusiano wowote kati ya maradhi ya rais na mafisadi? Yawezekana wanamtishia kuyafichua endapo atawatosa?

Kweli JF siku hizi imefilisika mawazo, hebu angalia type ya michango ya members wake, maskini maskini naionea huruma JF imekufa kifo kibaya sana

 
Back
Top Bottom