Lyangalo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2009
- 679
- 234
Wakuu naomba tuunganishe hizi doti:
1. Raisi amekuwa akisafiri sana nje na wakati mwingine bila taarifa za maana. Hata kama hapa nyumbani kuna matitizo makubwa lazima atasafiri achilia mbali mambo anayokwenda kufanya kutokuwa na muhimu au umuhimu wa uwepo wake.
2. Afya yake imekuwa haieleweki. Chukulia ambavyo amekuwa akianguka majukwaani.
3. Kauli ya Mh. Lema kuwa "unaweza kuficha kuzini lakini huwezi kuficha ukiugua ukimwi".
4. Udhaifu katika kushughulikia wezi.
Maswali yangu:
Je kunauhusiano wowote kati ya maradhi ya rais na safari zake? Yawezekana huwa anakwenda kubadili damu!
Je kuna uhusiano wowote kati ya maradhi ya rais na mafisadi? Yawezekana wanamtishia kuyafichua endapo atawatosa?
1. Raisi amekuwa akisafiri sana nje na wakati mwingine bila taarifa za maana. Hata kama hapa nyumbani kuna matitizo makubwa lazima atasafiri achilia mbali mambo anayokwenda kufanya kutokuwa na muhimu au umuhimu wa uwepo wake.
2. Afya yake imekuwa haieleweki. Chukulia ambavyo amekuwa akianguka majukwaani.
3. Kauli ya Mh. Lema kuwa "unaweza kuficha kuzini lakini huwezi kuficha ukiugua ukimwi".
4. Udhaifu katika kushughulikia wezi.
Maswali yangu:
Je kunauhusiano wowote kati ya maradhi ya rais na safari zake? Yawezekana huwa anakwenda kubadili damu!
Je kuna uhusiano wowote kati ya maradhi ya rais na mafisadi? Yawezekana wanamtishia kuyafichua endapo atawatosa?