WANA-JF;
Napenda kuuliza kama upo usafiri wa ndege wa Air Tanzania kati ya Mwanza na Dar es Salaam. Naomba kufahamishwa kwa yeyote mwenye taarifa za sasa kama usafiri huo unapatikana. Nimeangalia kwenye homepage yao na inaonyesha kwamba wana safari, lkn ningependa kufahamu kwa uhalisia kama huo usafiri upo kwasasa. Kwa wale watakaokwazika kwa swali langu naomba mnisamehe, kwani kuna jamaa zangu wanahitaji kusafiri next week kati ya Mwanza na Dar.
Napenda kuuliza kama upo usafiri wa ndege wa Air Tanzania kati ya Mwanza na Dar es Salaam. Naomba kufahamishwa kwa yeyote mwenye taarifa za sasa kama usafiri huo unapatikana. Nimeangalia kwenye homepage yao na inaonyesha kwamba wana safari, lkn ningependa kufahamu kwa uhalisia kama huo usafiri upo kwasasa. Kwa wale watakaokwazika kwa swali langu naomba mnisamehe, kwani kuna jamaa zangu wanahitaji kusafiri next week kati ya Mwanza na Dar.