Peter Nyanje
Member
- Jan 15, 2012
- 43
- 18
Usitishwe Mkuu, ni suala la kujipanga tu, si pagumu sanaHapaingiliki kirahisi,bora serengeti au mikumi
Usitishwe Mkuu, ni suala la kujipanga tu, si pagumu sanaHapaingiliki kirahisi,bora serengeti au mikumi
Mie nitawasilisha picha za huku ngorongoro crater baada ya vacation, ni pazuri mno! bongo raha jamani....
Mie nitawasilisha picha za huku ngorongoro crater baada ya vacation, ni pazuri mno! bongo raha jamani....
Acha baba yako auze sura kwanza humu JF, nyie watoto msubiri ukifika wakati wenu..................Baba mbona zile picha nilizoonekana hujaziweka humu?
Yani kukubali kwangu kuwapiga picha ndio nilizohusika hujaziweka!
Siku nyingine hata unigombeze sishiki camera ili na mie niuze sura jf lol!
Asa mbona unanibani baba,hutaki wakwe?afadhali nikizoom naonekana lol!nimefurahi kidogo!!Acha baba yako auze sura kwanza humu JF, nyie watoto msubiri ukifika wakati wenu..................
Unataka watu waanze kukugombea au? Subiri mwakani tukienda Ngorongoro itakuwa zamu yako kuuza sura.......sasa umefurahi eh!
View attachment 48147
Nimeweka hii, umeonekana kwa mbali
Hivi karibuni nilitembelea Selous na miongoni mwa mambo niliyojifunza ni lugha inayotumiwa na Tour Guide katika kuwasiliana pale wanapoulizana mahali walipo wanyama Fulani. Kule wanyama hawaitwi kwa majina yao halisi, bali wamewapa majina yao wenyewe ambayo wao kwa wao wanaelewana, nitataja machache na kama kuna mtu anajua zaidi atatujuza:
1. Sharubu-Simba
2. Pembe- Kifaru
3. Sikio- Tembo
4. Shingo-Twiga
5. Doa la Juu-Chui
6. Doa la Chini- Duma
7. Jino- Ngiri
8. Mjusi maji-Mamba
9. Askari-Nyati Jina hili limetokana na wimbo wa Buffalo Soldier wa Bob Marley<o></o>
10. Watu Pori-Nyani<o></o>
11. Endelezeni................<o></o>
<o> View attachment 48032
Nilifikia hapa
View attachment 48037
Mto Rufij ukiuangalia kwa juu
View attachment 48038
Tumetua Stiglers Air Strip
View attachment 48039
Mivumo ukiangalia kwa juu
View attachment 48040
View attachment 48041
Tent
View attachment 48042
View attachment 48043
View attachment 48044
View attachment 48046
View attachment 48047
View attachment 48048
View attachment 48049
View attachment 48050
View attachment 48051
View attachment 48052
Niliambiwa kwamba mbuga ya Selous ilikuwa inaitwa Shamba la Bibi, lakini ikabadilishw ana kupewa jimna la huyu Bwana ambaye alifia katika mbuga hiyo miaka ya 50, inasemekana alikuwa mhifadhi wa mbuga hiyo na ndio akapewa heshima hiyo.
View attachment 48053
Hapa tunapata picnic lunch
View attachment 48054
View attachment 48047
View attachment 48055
</o>
<o></o><o></o>
Gharama zake zikoje mkuu,Mungu akipenda niwapeleke wanangu wakaone Simba live
kumbe ww mzungu.