View attachment 35729h
Ndugu zangu mwezi uliopita nilifika Nyumbani Tanzania na kwa Neema ya Mungu nikajipatia Mke mwema
mkuu wanawake weusi watamu sana,,,hongera
<br /><font size="3"><font color="#ff0000">Mkuu huyo ni mimi kabisaaaa na ahsanteni sana ndugu zangu, "Apataye mke apata kitu chema kutoka kwa Mungu"</font></font>
<br />mkuu wanawake weusi watamu sana,,,hongera
Mkuu huyu nilimwacha huko nyumbani kabla sijaja hapa nilipo kwa sasa so majira yalipofika nikarudi nyumbani kwenda kukamilisha shuhuli yenyewe. Kama ningetafuta mwingine hapa nilipo hii inamaanisha kwamba mtu angeachwa solemba huko nyumbani jambo ambalo nadhani si la kiungwanaMkuu hivi kwanini hukuchukua huko huko ulikototoka? Huyu ulitafutiwa na wazazi au ulimwacha kabla hujaondoka kwenda kokote ulikokuwa?
<br />Hongera sana, mke anaonesha ni mwema kweli, kwani hana mkorogo wala nywele za maiti. Mtunze akutunze.
Makondo.......nianze kwa kukupa hongera kwa kupata mke.pili nimpongeze mkeo kwa kukupata weye makondo.Tatu niwatakieni maisha yenye kheri,amani na upendo kama familia,Nne nikushauri kuwa kwa kuwa una familia anza kudunduliza vijisenti kwa ajili ya familia,tumuombe mungu awajalie watoto na muweze kuwalea, Hata hivyo fahamu kuwa kuna njia nyingi za kujikwamua kiuchumi,ikiwa ni pamoja na kuanzisha biashara ndogondogo na kujiwekea akiba kwa ajili ya baadaye, ikiwa ni pamoja na kujiunga JE SACCOS ambayo hivi karibuni washirika walikutana na kamati ya muda ambapo afisa ushirika alitoa mada kuhusu ushirika,udhubutu wa uwekezaji,faida za ushirika na mengi mengineyo.Tembelea jukwaa la biashara kwa taarifa zaidi,Na mwisho,usisahau kukaribisha mkeo jamvini,hongera sana na msalimie mkeo.....kwa taarifa tuu,ni kwamba kiingilio pamoja na hisa ni kiasi cha tzs 120,000 nakushauri uwahi mara mojaView attachment 35729hNdugu zangu mwezi uliopita nilifika Nyumbani Tanzania na kwa Neema ya Mungu nikajipatia Mke mwema