james chapacha
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 939
- 200
safi saaaaaaaaaaaaana umeongeza idadi ya watalii wandani,vp ulifanikwa kuonja mbege ya Hai,sasa jitahdi ufike na uku kwetu Liwale,Nachingwea,Nanjilinji ili ufananiushe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeye kajenga MAHEKALU yanakaa MAPANYA mwenziye kajenga HOTELI inakaa watalii:
Nikiwa nimepata likizo fupi, niliamua kwenda mkoani kilimanjaro kwa ajili ya kupanda mlima wetu maharufu wa kilimanjaro, nikiwa huko niliweza kupata fursa ya kutembelea majimbo ya mkoani kilimanjaro ila nilitaka kuona kwa macho yangu jimbo la HAI la MH MBOWE MWENYEKITI WA CDM TAIFA! kwakweli niliyoyaona huko hayaendani kabisa na mbwembwe za huyu jamaa anayetembea nchi nzima kuhubiri maendeleo na demokrasia, vijana wa pale machine tools wamekata tamaa na maisha, mbunge wao anashindwa kufanya yale aliyowahidi, wakazi wa kimashuku mnadani wanalia shida ya maji, wakazi wa uroki hali yao kiuchumi na kipato iko mbaya, wengi wao wanalia na wanajuta kumchagua Mbowe! wengi walisema kuwa Mbowe sio kiongozi mbaya ila ni kwamba yupo bize sana na mambo ya taifa na kuwasahau wapiga kura wake! walisema kama Mbowe ataendelea kuwa mwenyekiti wa chadema, basi 2015 watachagua mtu mwengine atakayekuwa karibu nao
nilifika hotelini kwake AISHI-PROTEA HOTEL... kwakweli Mbowe ni Bepari kwa mtanzania wa kawaida kumiliki ile hoteli sidhani kama ni rahisi....wakazi wa maeneo ya pale hawawezi kwenda kuingia kwa ile hoteli, wengi niliyowaona ni wazungu na raia wengine wa kigeni, kulikuwa na umuhimu gani kujenga hoteli kubwa kule kijijini kwake ilhali wapiga kura wake hawawezi kwenda hata kununua soda au chai?
Umenena! Kama Mujumba anao Jimbo la Hai hakuna cha maana basi amezaliwa Ulaya au Marekani
Mkuu, usimalizie hasira zako kwa jimbo hilo moja. nenda majimbo mengine, anzia kwa Pinda, kwa Membe, kwa Magufuli etc uone iwao kunaahuweni kwa wananchi, hususan vijana. halfu urudi humu ndani utueleze.
Duh Mkuu umenena, kabla hujafika pale Msoga fanya tathmini pale CHALINZE MZEE uone watu walivyochoka!
Politics aside:
1. Vijana wa machine tools uliwauliza lolote au na wewe ni kati ya wale walotutenga wanao-judge watu kutokana na mavazi au muonekano??? Ulikaa nao mpaka wanapofunga siku ujue wanarudi home na bei gani mfukoni apart from manunuzi????
- Wana Mashamba yao
- Pale wako kijasiriamali, wanapakia mizigo.
- Fly Catchers
- Mountain Climbers
- Toyo Riders
- Mama/Baba Ntilies.
2. Kuna aliekuibia kutokana au aliekukimbiza?? Mpaka useme wana tabu???
3. Kimashuku wale ni mountain Climbers na Fly Catchers.
4. Mbona usiseme miradi waliowekeza Boma??? (Ulikuwako au fanikiwa kuiona Boma enzi za CCM?).
5. Unajua Aishi Protea imewaajiri (ajira rasmi na zisizo rasmi, watanzania wangapi?).
6. Unajua Aishi inachangia kiasi gani kwa akiba ya Pesa za kigeni??
- kodi?
- mapato mengine yatokanayo na Utalii???
- we need Hotels kama hizo.
7. MOSHI MJINI. Unajua personally Ndesa kawasaidia wanajimbo na wageni wangapi??
8. Keys Hotel. (Rejea Namba 6 hapo juu) faida zinafanana.
Popote pale lazima kutakuweko wavivu, na maskini. Lakini pia usisahau Con-Artists. So hizo siku chache hazitoshi wewe kupata conclusion kama hii.
Hata mimi leo ukijileta nikaona unaleta tambo za ileri(pesa) ukiniuliza nakuambia maisha magumu ili unitoe ileri nikapige wari.
Nakushauri rudi tena kafanye utafiti wako halafu uje hapa na Jimbo lingine lililo chini ya CCM ama The Swahibaz CUF ufananishe.
mbowe ni kiongozi..Tunamuona