Taifa_Kwanza
JF-Expert Member
- Sep 3, 2010
- 443
- 86
Sasa mbona sioni hata mmoja wao anayesmile isipokuwa yeye tu, au kweli ni sura ya Rais wetu ndio ilivyo ilivyo.
pia, huyo nyuma ya Mkama sio Mwezi wa Kwanza kweli?
Anyway, Kama alitumia pesa za serikali, hili nalo litajumuishwa kwenye mashitaka tutakayomfungulia,
ufujaji wa mali za serikali kwa matumizi binafsi/chama. Makisio ya haraka harakaharaka yanaonyesha
matumizi ya namna hii peke yake, yaani officially approved expenditures lakini zilizokiuka taratibu
zinakaribia Bilioni za Kitanzania 187.5
pia, huyo nyuma ya Mkama sio Mwezi wa Kwanza kweli?
Anyway, Kama alitumia pesa za serikali, hili nalo litajumuishwa kwenye mashitaka tutakayomfungulia,
ufujaji wa mali za serikali kwa matumizi binafsi/chama. Makisio ya haraka harakaharaka yanaonyesha
matumizi ya namna hii peke yake, yaani officially approved expenditures lakini zilizokiuka taratibu
zinakaribia Bilioni za Kitanzania 187.5