Elections 2010 Safari ya Mwanza

Freetown

JF-Expert Member
Apr 6, 2008
883
73
Wakuu tunaomba updates juu ya safari ya Mwanza kwa mgombea wa ccm, je amefika? na nini kinaendelea??
 
Mgombea kwa ngazi ipi, udiwani, ubunge au urais? Kama unamuongelea mtalii nadhani atakuwa bado yuko hospitali anatibiwa manake nasikia ameugua kifafa cha kampeni!
 
Mgombea kwa ngazi ipi, udiwani, ubunge au urais? Kama unamuongelea mtalii nadhani atakuwa bado yuko hospitali anatibiwa manake nasikia ameugua kifafa cha kampeni!

Jakaya Mrisho Kikwete
 
JK Rais kipenzi cha watu, ametenda mambo mengi katika miaka mitano iliyopita, kupambana na rushwa na ufisadi ni mengi kati ya mengi, ujenzi wa shule za sekondari,vyuo vikuu, barabara za lami, changarawe, ameimarisha demokrasia, utawala bora ndo usiseme, uhuru wakuabudu, kuandika na kutoa habari, wasanii na michezo,kaboresha na amejipanga kutoa ajira zaidi ya awali, chagua JK kwa maisha bora na maendeleo ya Taifa. Chagua CCM. Pamoja twasonga mbele.

Mkuu umejiunga leo naona umepata kiharusi au tetekuwanga khe khe khe khe kheeeeeeeee.
 
KUNA MAHALI NIMEONA PICHA ZA MWANZA ....HUKO NAKO WATU SI MCHEZO.......!..wa kumwaga
 
JK Rais kipenzi cha watu, ametenda mambo mengi katika miaka mitano iliyopita, kupambana na rushwa na ufisadi ni mengi kati ya mengi, ujenzi wa shule za sekondari,vyuo vikuu, barabara za lami, changarawe, ameimarisha demokrasia, utawala bora ndo usiseme, uhuru wakuabudu, kuandika na kutoa habari, wasanii na michezo,kaboresha na amejipanga kutoa ajira zaidi ya awali, chagua JK kwa maisha bora na maendeleo ya Taifa. Chagua CCM. Pamoja twasonga mbele.

Mkuu tumekusikia

umeituma hii post mara 40 na ushee...

Uliyekutuma uje uharibu mijadala, mwambie kazi umeiweza akupe chako utambae

JK anaweza kujitetea kivingine sio kwa wewe kuja kujaza post moja mara 40... ni sawa na mtu kuachia ushuzi kanisani au msikitini
 
Mkuu umejiunga leo naona umepata kiharusi au tetekuwanga khe khe khe khe kheeeeeeeee.

Kaja kwa spidi kweli, kujiunga siku hiyo hiyo na kuweka post 74 zote zikiwa zinasema maneno yale yale tu:

quote_icon.png
Originally Posted by mtanzaniaasili
JK Rais kipenzi cha watu, ametenda mambo mengi katika miaka mitano iliyopita, kupambana na rushwa na ufisadi ni mengi kati ya mengi, ujenzi wa shule za sekondari,vyuo vikuu, barabara za lami, changarawe, ameimarisha demokrasia, utawala bora ndo usiseme, uhuru wakuabudu, kuandika na kutoa habari, wasanii na michezo,kaboresha na amejipanga kutoa ajira zaidi ya awali, chagua JK kwa maisha bora na maendeleo ya Taifa. Chagua CCM. Pamoja twasonga mbele.
.
 
Back
Top Bottom