Safari ya Lema v/s JK London, ipi imeleta manufaa kwa watanzania?

Hii serikali yetu ni serikali ya MATUMIZI NA MATANUZI kwa kwenda mbele hata kama akina mama wanapata shida kubwa mahospitalinbi lakini kwao ni lazima PIPA LIRUKE ANGANI iwe isiwe.

Na wakati mwingine kunakotokea kwenye kuchagua mi-hoteli huko wao huchagua sehemu zenye hadhi mara 20 ya Kilimanjaro Kempinski (mara Churchill Hotel) wakati viongozi nchi zinazotufadhili wao huenda hoteli za pembezoni na walau bei nafuu kama vile Njuweni Kibaha kwa kuonyesha kujali matumizi mazuri ya walipakodi wa nchi zao.

Yeye Mzee Kagame ndio kabisa kwenye safari za kipuuzi hata siku moja hutomsikia huko isipokua hutumia balozi zake kutekeleza uwakilishi kunakohusika.

Bure kabisa na wala hamna kitu hapa; kero tupu kuona jinsi gani wanavyosafirisha ajira nje ya nchi kwa kuendekeza hulka ya kutumbua zaidi fedha nje ya nchi.
 
Wewe uliyokuwa na akili kama za Nguchiro unadhani JF ni mali ya Chadema...hili ni jukwaa huru kama wewe umekuja JF na kundi lako la Chadema usidhani wote ni Chadema.
matusi ya nini ritz
 
Chilisosi,
Wakati mwingine kama umekosa cha kuongea ni bora ukae kimya kuliko kujidhalilisha, wewe upo Uingereza umejuaje kama safari ya Lema kwenda Uingereza iligharimiwa na Lema mwenyewe.

Hivi hunajua M4C ni mradi wa nani? Lema toka mahakama imvue ubunge hana kazi yeyote zaidi M4C ambao ni mradi wao Lema, Dr Slaa na Mbowe, hizo pesa za wananchi walizowachangisha ndio anazitumia kama zake.
Where is the point here! grrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr!
 
Mzee mwenzetu mwenye jukumu la kutetea chochote kilicho CCM hapa jamvini bwana Ritz unapoona anabubujika matusi hivi basi ujue kwamba kashikwa kusiko kabisa na huyo jamaa yetu wa Ughaibuni aliyemwaga hoja inayotuhusu moja kwa moja kama walipakodi tunaotaabika kugharimia anasa za wengine serikalini.

matusi ya nini ritz
 
Hii serikali yetu ni serikali ya MATUMIZI NA MATANUZI kwa kwenda mbele hata kama akina mama wanapata shida kubwa mahospitalinbi lakini kwao ni lazima PIPA LIRUKE ANGANI iwe isiwe.

Na wakati mwingine kunakotokea kwenye kuchagua mi-hoteli huko wao huchagua sehemu zenye hadhi mara 20 ya Kilimanjaro Kempinski (mara Churchill Hotel) wakati viongozi nchi zinazotufadhili wao huenda hoteli za pembezoni na walau bei nafuu kama vile Njuweni Kibaha kwa kuonyesha kujali matumizi mazuri ya walipakodi wa nchi zao.

Yeye Mzee Kagame ndio kabisa kwenye safari za kipuuzi hata siku moja hutomsikia huko isipokua hutumia balozi zake kutekeleza uwakilishi kunakohusika.

Bure kabisa na wala hamna kitu hapa; kero tupu kuona jinsi gani wanavyosafirisha ajira nje ya nchi kwa kuendekeza hulka ya kutumbua zaidi fedha nje ya nchi.
Safari ambayo nadhani kama ingekuwa ni high profile kuhudhuria basi angekuwa waziri wa afya bila kuongozana na wanawe
 
Chilisosi,
Wakati mwingine kama umekosa cha kuongea ni bora ukae kimya kuliko kujidhalilisha, wewe upo Uingereza umejuaje kama safari ya Lema kwenda Uingereza iligharimiwa na Lema mwenyewe.

Hivi hunajua M4C ni mradi wa nani? Lema toka mahakama imvue ubunge hana kazi yeyote zaidi M4C ambao ni mradi wao Lema, Dr Slaa na Mbowe, hizo pesa za wananchi walizowachangisha ndio anazitumia kama zake.


Hao ndo wana ccm bana, wapo saaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaafi kabisa , bila hiyana wanaingia jamvini na kujaribu kufafanua mambo kirahiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiisi kama afanyavyo nape na shigela.

Hivi kabla ya akuwa mbunge "Lema" M4C ilikuwapo? TAFAKARI, CHUKUA HATUA, vua gamba.............vaa gwanda.
 
Taabu kweli kweli,ccm punguzeni matanuzi yasiyo ya lazima,pamebaki muda mchache muanze kuwa waimba taarabu
 
Wakuu mtaumiza kichwa sana, huju jamaa baba riz akienda huko 'majuu', priority yake kubwa ni ku check afya, si mnajua ana 'yale mambo yetu'.... Au mnataka asimalize muda wake??? Cd4 lazima iwekwe vizuri, otherwiz inaweza kuwa historia...
 
Ndio mana Waingereza walivyoona JK anawaomba omba sana wakamwambia basi weka sahihi tukuoe kabisa.
 
Mkuu usitufanye wote sie ni watoto mkuu tuna akili zetu timamu. Ambulance unazo sema taarifa tunazo ni mtumba na zinaweza kuweko barabarani kwa mwaka mmoja tu, zinakuwa scrap value. Jipangeni tena hatudanganyiki

Hata mitambo ya Dowans na ndege ya rais vilinunuliwa vikiwa chakavu. Kilicho kibaya zaidi ni kuwa manunuzi hayo ya mitambo ya Dowans na ndege ya rais yalitumiwa kodi za wananchi wa Tanzania. Kwa hiyo hilo la ambulanance chakavu (kadiri ya mawazo yako) lisikuume sana.
 
Hata mitambo ya Dowans na ndege ya rais vilinunuliwa vikiwa chakavu. Kilicho kibaya zaidi ni kuwa manunuzi hayo ya mitambo ya Dowans na ndege ya rais yalitumiwa kodi za wananchi wa Tanzania. Kwa hiyo hilo la ambulanance chakavu (kadiri ya mawazo yako) lisikuume sana.
Kweli kaka, heri ambulance iliyotumika kuliko vibajaji.
 
Kweli kaka, heri ambulance iliyotumika kuliko vibajaji.
Id mbili za nini mwenyekiti? Wewe ulitaka Rais aje UK akalale sehemu ane lala Lema? Watanzania wote wa UK wamechanga kununua hizo gari lakini mnageuza kuwa ni dili la CDM
 
Ndugu zanguni.
Kama mjuavyo mheshimiwa Lema alikuwa hapa UK na alifanikisha zoezi la kufungua tawi la chadema UK.
Pamoja na hayo faida kubwa ya safari ya LEMA ambayo haikugharimu zaidi ya pounds £2,000 aliahidiwa ambulance mbili ambazo jumapili iliyopita zilikabidhiwa kwa mwenyekiti wa Chadema UK Chris Lukosi. ambulance hizi zitaenda kusaidia wajawazito na wagonjwa wengine jimboni kwake.

Wakati huo huo Mkulu alikuja hapa UK kuhudhuria semina ya uzazi wa mpango.
Msafra wa mkulu ulikuwa na watu kama 70 hivi na walifikia kwenye hoteli moja kubwa sana hapa UK inaitwa CHURCHILL HOTEL . Gharama za chumba cha kawaida kwa mtu mmoja kwenye hii hotel ni £500. (vyumba vywa walinzi, mawaziri na familia nzima ya mkuli ni more expensive kuliko vya kawaida)

Kwa hiyo watu sabini kwa siku ina cost £35,000 msafara ulikaa hapa wiki moja kwa hiyo iligharimu jumla £245,000 . hizi ni bila kuweka masuala ya chakula , usafiri, shopping nk.

Ambulance alizopewa Lema zinauzwa £4,000 kila moja hivyo basi katika £245,000 tungepata ambulance 61 ambazo zingesambazwa nchi nzima. Mkumbuke tuliambiwa vibajaji vitumike kubeba mama zetu wanapokwenda kujifungua wakati watu wanakuja kuhudhuria semina ya uzazi wa mpango na kutumia mihela yote hii!.
Maswali yangu kwa jamii.
600

Kuna umuhimu gani kuhudhuria semina inayohusu wazazi wakati wazazi wenyewe unawaambia wapande bajaji?
Kuna umuhimu ganin wa msafara mkubwa kama huo wakati kuna ubalozi hapa UK
Kazi ya waziri wa afya ni nini?

Kwangu mimi naona safari ya LEMA ina mafanikio makubwa zaidi kwa sababu walau amerudi na ambulance mbili na hakutumia hela nyingi £2,000.

Hii wenzangu mnaionaje?? hata kama wewe ni CCM una mawazo gani hapa?
bajaj-rickshaw-tanzania-africa-600x400.jpg
Kikwete kikwete huwa anaenda kupiga picha na mademu tu.
 
Ndugu zanguni.
Kama mjuavyo mheshimiwa Lema alikuwa hapa UK na alifanikisha zoezi la kufungua tawi la chadema UK.
Pamoja na hayo faida kubwa ya safari ya LEMA ambayo haikugharimu zaidi ya pounds £2,000 aliahidiwa ambulance mbili ambazo jumapili iliyopita zilikabidhiwa kwa mwenyekiti wa Chadema UK Chris Lukosi. ambulance hizi zitaenda kusaidia wajawazito na wagonjwa wengine jimboni kwake.

Wakati huo huo Mkulu alikuja hapa UK kuhudhuria semina ya uzazi wa mpango.
Msafra wa mkulu ulikuwa na watu kama 70 hivi na walifikia kwenye hoteli moja kubwa sana hapa UK inaitwa CHURCHILL HOTEL . Gharama za chumba cha kawaida kwa mtu mmoja kwenye hii hotel ni £500. (vyumba vywa walinzi, mawaziri na familia nzima ya mkuli ni more expensive kuliko vya kawaida)

Kwa hiyo watu sabini kwa siku ina cost £35,000 msafara ulikaa hapa wiki moja kwa hiyo iligharimu jumla £245,000 . hizi ni bila kuweka masuala ya chakula , usafiri, shopping nk.

Ambulance alizopewa Lema zinauzwa £4,000 kila moja hivyo basi katika £245,000 tungepata ambulance 61 ambazo zingesambazwa nchi nzima. Mkumbuke tuliambiwa vibajaji vitumike kubeba mama zetu wanapokwenda kujifungua wakati watu wanakuja kuhudhuria semina ya uzazi wa mpango na kutumia mihela yote hii!.
Maswali yangu kwa jamii.
600

Kuna umuhimu gani kuhudhuria semina inayohusu wazazi wakati wazazi wenyewe unawaambia wapande bajaji?
Kuna umuhimu ganin wa msafara mkubwa kama huo wakati kuna ubalozi hapa UK
Kazi ya waziri wa afya ni nini?

Kwangu mimi naona safari ya LEMA ina mafanikio makubwa zaidi kwa sababu walau amerudi na ambulance mbili na hakutumia hela nyingi £2,000.

Hii wenzangu mnaionaje?? hata kama wewe ni CCM una mawazo gani hapa?
bajaj-rickshaw-tanzania-africa-600x400.jpg

Hiyo Mada imesimama mkuu, mafisadi wa CCM matumbo yao hayajai
 
Mkuu usitufanye wote sie ni watoto mkuu tuna akili zetu timamu. Ambulance unazo sema taarifa tunazo ni mtumba na zinaweza kuweko barabarani kwa mwaka mmoja tu, zinakuwa scrap value. Jipangeni tena hatudanganyiki

Ambulance ni Ambulance tu. Haijalishi itakaa barabarani muda gani. Ni bora hii kuliko pkpk za bajaj za Jk
 
Chilisosi,
Wakati mwingine kama umekosa cha kuongea ni bora ukae kimya kuliko kujidhalilisha, wewe upo Uingereza umejuaje kama safari ya Lema kwenda Uingereza iligharimiwa na Lema mwenyewe.

Hivi hunajua M4C ni mradi wa nani? Lema toka mahakama imvue ubunge hana kazi yeyote zaidi M4C ambao ni mradi wao Lema, Dr Slaa na Mbowe, hizo pesa za wananchi walizowachangisha ndio anazitumia kama zake.

Za wananchi, na zile mlizoziweka uswis, mkazilete sasa; kama kweli una uchungu na fedha za wananchi
 
Back
Top Bottom