Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 46,903
- 32,312
Mie binafsi nawapa pongezi Invisible pamoja na team yake nzima mods Paw na wenzake kwa kuweka sawa jukwaa letu pendwa la siasa kwa kukupambana na wahuni walikuwa wanachafua thread mpaka viongozi wa vyama wanakimbia JF...
Leo Nape naona kaamua kuja kujibu hoja za wana JF ndivyo inavyotakiwa...ushauri wa bure kwa Nape, JF ndio sehemu ya kukujenga wewe usikimbie humu njoo JF fungua thread karibisha maswali upambane kwa hoja ndio unakomaa kisiasa..
Leo Nape naona kaamua kuja kujibu hoja za wana JF ndivyo inavyotakiwa...ushauri wa bure kwa Nape, JF ndio sehemu ya kukujenga wewe usikimbie humu njoo JF fungua thread karibisha maswali upambane kwa hoja ndio unakomaa kisiasa..
Last edited by a moderator: