Jibu Nondo acha Kujibalaguza
Dogo Nondo ni jina la mtu! Vipi baridi ya Morogoro ndo inakuharibu akili nini?
Nape, naomba uniwie radhi kama utanielewa vibaya lakini niseme tu kwamba sisi tuliokaa pembeni tunakuona dhahiri kuwa unafanya jitihada kubwa kuonyesha kuwa chama kinapambana na ufisadi wakati ukweli ni kwamba chama chako kimeendelea kukumbatia mafisadi. Hilo halina ubishi na watanzania wengi wanaona kinachoendelea ndani ya chama ni dalili ya anguko kubwa.Huwezi kutaka kusafisha Chama kwa kuwalenga watu, unalenga tabia au matendo machafu sasa kama kuna watu wanayatenda hilo si lako ulie asisi usafishaji ni la mtendaji. Kwahiyo sio sawa kutaja watu wachache, NIMEKUWA NIKISISITIZA NI CHAMA KIZIMA,INAWEZEKENA KUKAWA NA WATU WANATAJWA TENA NA NYINYI KAMA MIFANO LAKINI SI TAASISI KULENGA WATU KADHAA BALI KULENGA VIONGOZI WENYE TABIA ZINAZONYOOSHEWA VIDOLE NA WANANCHI.
Nnauye Jr Nasikia kila siku Mnailipa Symbion Capacity Charge ya shilingi Miliobi 152. Huu si ufisadi kweli. Yaani Mnataka tuwapende pamoja na kutuingiza katika Mikataba ya Kinyonyaji kama ya IPTL, Songas, Richmond, Kiwira, Buzwagi na Mingine mingi? Real?
Ndo shida ya kushindia kipande cha muhogo mbichi!!! unajitungia tu maneno.
Nnauye Jr Nasikia kila siku Mnailipa Symbion Capacity Charge ya shilingi Miliobi 152. Huu si ufisadi kweli. Yaani Mnataka tuwapende pamoja na kutuingiza katika Mikataba ya Kinyonyaji kama ya IPTL, Songas, Richmond, Kiwira, Buzwagi na Mingine mingi? Real?
Nani kakuomba UTUPENDE??!!!!??? Pls usijipendekeze si vizuri
Eti Nape amekimbilia Facebook kwenda kujisifu kuwa anajibu maswali JF. We jamaa kweli hamna kitu. Yaani hivyo vijimajibu vyako unavyotoa hapa ndiyo unaona umejibu kitu cha maana kiasi cha kujisifia Facebook?
Ndo shida ya kushindia kipande cha muhogo mbichi!!! unajitungia tu maneno.
Nape vipi tena mbona tembo unalitia maji?jitahidi kutuliza munkari bado hoja ninyingi.Vipi ule mkataba wa jengo la vijana kuna jipya?
Aliyeshiba hamkumbuki Mwenye Njaa. Anafikiri sisi tunapenda kushindia Kipande cha Muhogo Mbichi. Acha Watoto wa Vigogo wale Baga na Piza lakini Mwisho wao ni 2015
mkuu ivi kweli 2015 tutafika?naona kama siku zimeganda.