SURE MKUU!Wakirogwa tu hao ccm wakampitisha Fisadi yoyote yule wanazidi kukichimbia kaburi Chama,Wabunge wa sasa hata wa ccm wengi wao c wale wa ndio Mzee watakuwa wako Radhi kumpa wa upinzani mwenye Intergrity yakutosha,personaly nadhani watu perfect wakugombea hapo ccm ni Job Ndugai na Samwel Sitta tu,huyu Mama Makinda ndo hafai kabisa nakufanya kaz kwake kwa Maslahi ya Chama kwenye hili Bunge la wakiendekeza upumbavu hata Mabanzi watakula.
nami nimesikia kutoka magazetini...kweli ndugu inatisha! Hata kama wabunge machachari wapo, kama spika hataki hoja fulani ijadiliwe ndio basi haitajadiliwa bungeni.
Nadhani kwa sasa wabunge wa upinzani wamuunge mkono mzee sitta ili kuokoa hicho kiti, or else utashuhudia ufisadi ukitamalaki. Kumbukeni hii ni awamu ya mwisho ya muungwana, waliomuweka hapo wanataka chao...ooh!
Binafsi ningemuunga mkono Jenista Mhagama au Job Ndugai, Sitta is kwishnei!!Wakirogwa tu hao ccm wakampitisha Fisadi yoyote yule wanazidi kukichimbia kaburi Chama,Wabunge wa sasa hata wa ccm wengi wao c wale wa ndio Mzee watakuwa wako Radhi kumpa wa upinzani mwenye Intergrity yakutosha,personaly nadhani watu perfect wakugombea hapo ccm ni Job Ndugai na Samwel Sitta tu,huyu Mama Makinda ndo hafai kabisa nakufanya kaz kwake kwa Maslahi ya Chama kwenye hili Bunge la wakiendekeza upumbavu hata Mabanzi watakula.
Nimesikia habari kupitia magazeti ya leo kwamba Chenge naye amechukua fomu ya kuwania uspika. Kulikuwa na tetesi kuwa ile kambi ya mafisadi wameamua kuongoza bunge katika nafasi ya uspika, chenge kuchukua fomu inamaanisha ni kweli kwamba jamaa wamepania ili wajisafishe (mafisadi) kwa kutumia uspika.
Hizi ni habari mbaya kwangu kwani hawa jamaa wana nguvu ya kifisadi wanaweza kuwashawishi wabunge uchwara (wa CCM) ili wawapigie kura na hivyo kuutwaa uspika.
Hivi kutakuwa na mijadala ya kifisadi tena, Bunge litakuwaje. Napata wasiwasi.
Wengine waliochukua fomu ni Anna Makinda na Samwel Sitta.
Du Change hizi gutz! anatoa wapi?????
Umenikumbusha Jenister Mhagama anafaa pia.Binafsi ningemuunga mkono Jenista Mhagama au Job Ndugai, Sitta is kwishnei!!
Well:Well:Well
Bunge lijalo halitazungmzia tena:-
- Meremeta/DEEP Green
- RichMond
- EPA/Kagoda
- E.T.C
Regardless nani ni SPIKA! Binafsi pia nisingependa kumsikia Mbunge akiongelea hayo masuala - Yabaki kama historia BASI!
Mustakabali wa nchi utakuwa very positive!Hii ni kweli? Eti Lowasa na Chenge wamechukua form za kugombea uspeaker wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa TZ?
Na kama ni kweli, ni nini mustakabali wa taifa hili endapo mmoja wao atafanikiwa kuwa speaker?
Mustakabali wa nchi utakuwa very positive!
Ni kwamba wakichaguliwa hawa kuwa spika, watajitahidi sana kutetea UFISADI bungeni, na hivyo kurahisisha sana kazi ya CHADEMA kwa malengo ya 2015...NIMEMALIZA!