Safari ya 315: Rais Kikwete kuelekea Namibia?

Anaenda kufanya nini huko..akae chini atatue tatizo la mafuta na umeme.
 
Yule sharobalo wa magogoni kesho anakwea pipa kuelekea Namibia huku nchi ikiwa ktk giza na uhaba batili wa mafuta!<br />
Rais huyu ambae dhahiri penge la shekhe yahaya linaoneka anaondoka bila kutoa kauli yoyote juu ya mafuta yaliyogeuka kuwa bidhaa muhimu utadhani cocaine.<br />
Hii ni dhihaka kwa watz wakti kwake ni faraja kwa kuvunja recods za akina Vasco da Gama na Dorsel Velsrio!
<br />
<br />

sikumbuki lini alimtuma mtu amuwakilishe!! Na angekuwa na serikali yenye ela ka USA au CHINA, angetembea wilaya zote duniani.
 
Pole sana man' mata ya kula ya taa ya gari au mazito ya umeme? Naona ana asili tu ya umatonya kwani aliwahi kusema safari zake zina tuwezesha kuishi kwani anapata misaada lukuki, kwa mantiki hiyo na rasilimali tulizo nazo inaonesha tunawezakujimudu zikisimamiwa ipasavyo ila shortcut na uzuzu ndivyo vyina mfanya awe matonya handsome mvivu atachoka men
 
<span style="font-family: comic sans ms"><font size="4"><font color="#b22222"><b>Amebakisha 39 kutimiza safari za mwaka, sasa fanya amekaa 3 days katika kila safari utapata miaka mitatu. Mungu atuondolee hili Balaa</b></font></font></span>
<br />
<br />
Hv amewekwa kwenye rekodi ya Dunia?
 
Wajinga ndio waliwao, JK hata akigombea kura sasa hivi utashangaa mijitu inajitokeza kumchagua, huku ikiendelea kulalamika eti maisha magumu!
 
<span style="font-family: comic sans ms"><font size="4"><b>Kesho Yule Mtalii Mzee wa Anga anatua Namibia wenye kuhesabu Safari zake tunaomba watupe namba. </b></font></span>
<br />
<br />
Du hata hili tatizo la mafuta analipuuza na hata tamko hatoi anaona bora akatalii na mpaka arudi tutakua tume mng'oa kwani
Sababu tunayo (mafuta, umeme, ufisadi, na maisha magumu kwa kila mtanzania kwani ata matajir nao wanalalamika)
Nia tunayo

uwezo tunao (nguvu ya uma)
 
Mimi kama President Elect sishabikii sana safari za nje ya nchi, lakini kama ni utaratibu wake kajiwekea unachoweza kufanya kama mwananchi wa kawaida ni kutoa maoni na kumshauri Rais wetu, ila uamuzi wa mwisho ni wake mwenyewe. Nimtakie tu safari njema, na arudi salama.
<br />
<br />
Kwani siku hizi ndege hazipati ajali jamani?
 
Wajinga ndio waliwao, JK hata akigombea kura sasa hivi utashangaa mijitu inajitokeza kumchagua, huku ikiendelea kulalamika eti maisha magumu!
<br />
<br />

waombe radhi watz kwani hata last year kapita kwaa tsh! So they know him yet!
 
Kuna watu wanasema ikitokea huyu vasco da gama akafa before 2015, watashangilia badala ya kuhudhunika.
 
Nafikiri waandishi wa habari watamuuliza swali kwa nini ameiacha nchi gizani na uhaba mkubwa wa mafuta badala ya kukaa kutafuta mbinu ya kutatua matizo yeye anasafiri. Ila mwandishi awe wa bibisi maana akiwa wakibongo tajiri yake atapigiwa simu tu kwamba kama anataka biashara yake iendelee amtoae aliyeuliza swali. Utawala wa dunia ya 3.
 
Back
Top Bottom