Mzalendo80
JF-Expert Member
- Oct 30, 2010
- 2,508
- 1,338
Kesho Yule Mtalii Mzee wa Anga anatua Namibia wenye kuhesabu Safari zake tunaomba watupe namba.
Itakuwa ni safari yake ya 326......................
<br />Itakuwa ni safari yake ya 326......................
watanzania wenzangu eeeh msiwe na wasiwasi..Freedom is coming soon...Atatukuta magogoni tunamwapisha rais mpya..Lazima huyu jamaa ajitambui vizuri,nina mashaka na utimamu wake.
Mwache akashangae mashamba na migodi.