MAFILILI
JF-Expert Member
- Apr 28, 2011
- 2,377
- 1,194
Tukiwa ni karibu 50% ya kuelekea uchaguzi mkuu 2015, kuna kila dalili timu ya CCM ipo makini sana na inatumia uzoefu na mbinu za hali juu, kuidhoofisha timu ya upinzani, CDM ambayo uzoefu haina
1. CDM walilia kuwepo kwa mchakato wa katiba mpya: JK akatoa tamko la mkakati kuanza; CCM 1 vs CDM 0
2. CDM kulalamika mawazo yao kutokuwepo katika namna ya uanzishaji na utaratibu wa kufikia katiba mpya: JK akisikia kilio chao na kuwakaribisha IKULU wakatoa mawazo yao; CCM 2 vs CDM 0
3. CDM kupendekeza mjumbe katika tume ya kukusanya maoni, JK kumteua na kumuapisha Prof. Baregu; CCM 3 vs CDM 0
4. CDM kushinikiza PM awajibike ama mawaziri wapigwe chini; JK kuwatoa nje ya baraza mawaziri husika; CCM 0 vs CDM 1
Hatahivyo upepo umegeuka ghafla CDM inabidi mjizatiti, CCM imekuja na mbinu mpya na wananchi wanakubali serikali yetu. Kuna kila daliili ifikapo JULAI vijana watarudi tena nyumbani, CCM!!
1. CDM walilia kuwepo kwa mchakato wa katiba mpya: JK akatoa tamko la mkakati kuanza; CCM 1 vs CDM 0
2. CDM kulalamika mawazo yao kutokuwepo katika namna ya uanzishaji na utaratibu wa kufikia katiba mpya: JK akisikia kilio chao na kuwakaribisha IKULU wakatoa mawazo yao; CCM 2 vs CDM 0
3. CDM kupendekeza mjumbe katika tume ya kukusanya maoni, JK kumteua na kumuapisha Prof. Baregu; CCM 3 vs CDM 0
4. CDM kushinikiza PM awajibike ama mawaziri wapigwe chini; JK kuwatoa nje ya baraza mawaziri husika; CCM 0 vs CDM 1
Hatahivyo upepo umegeuka ghafla CDM inabidi mjizatiti, CCM imekuja na mbinu mpya na wananchi wanakubali serikali yetu. Kuna kila daliili ifikapo JULAI vijana watarudi tena nyumbani, CCM!!