AdvocateFi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 11,492
- 5,040
Jamani huyu saed kubenea ana mchango mkubwa hapa nchini kwa mageuzi, Mungu wangu wa israel ampe maisha marefu.Amen
Kaka yangu Kimbunga kama unakumbuka vizuri miaka miwili ya nyuma na kipindi cha kampeni za uchaguzi siku ya Jumatano ikifika saa tano asubuhi ulipati gazeti la Mwanahalisi leo siku ya Alhamisi pita kwenye vibanda vya magazeti uone mzigo ulivyojaa.
Mimi mwenyewe kaka nimestuka kusikia jamaa anatafuta diploma! wakati kuna vijana kama 500 kila mwaka wanamaliza BA Journalism na BA Mass Com bongo! Kweli ukistaajabu ya Musa
Usemayo sio kweli. Ni kweli JK alikwenda Muhimbili kumuona baada tu ya tukio la tindikali na kumuahidi serikali kumgharamia gharama za matibabu, lakini ilikuwa ni usanii tu wa JK kama kawaida yake.
gharama zote amekuwa akitoa Mzee Mengi na waziri mmoja ambaye sitaki kumtaja.
Ukweli ndiyo huo.
Cheza na tindikali wewe?
Jk alipita India kumuangalia Kubenea.
Issue ya Kubenea ya kumwagia tindikali nasikia alichukuwa mke wa mtu ndio maana mpaka leo mtuhumiwa ajapatikana.
Usemayo sio kweli. Ni kweli JK alikwenda Muhimbili kumuona baada tu ya tukio la tindikali na kumuahidi serikali kumgharamia gharama za matibabu, lakini ilikuwa ni usanii tu wa JK kama kawaida yake.
gharama zote amekuwa akitoa Mzee Mengi na waziri mmoja ambaye sitaki kumtaja.
Ukweli ndiyo huo.
Mwenye taarifa kuhusu alipo Saed Kubenea ambaye amekuwa mwandishi wa gazeti la Mwanahalisi kwa muda mrefu tafadhali anijulishe. Mimi ni mpenzi sana wa articles zake za kisiasa katika Gazeti hilo. Kama anafanya na gazeti lingine tafadhali naombe Kujuzwa ili nifuatilie habari anazoziandika.
Laiti wanaomsifia Kubenea wangemjua Kubenea wa kweli ambaye aliwahi kufanya kazi Habari Corp wasingepoteza sifa zao bure. Anyway Kubenea bila Ndimara Tegambwage hayupo you know what I mean. Kubenea ni kihiyo wa kawaida anayeanza kuitafuta elimu kwa sasa huu ukiwa ushahidi kuwa Kubenea aliyejulikana siyo yule wa kweli. Makala zake nyingi alikuwa akiandikiwa na watu kiasi cha wakati mwingine hata kusahau emails zao mmojawapo akiwa Paschary Mayega. Kubenea ni mission to town wa kawaida kama meya wa jiji la Dar Didas Massaburi aneyeitwa dokta bila kusomea. Kubenea bila watu kama Ansbert Ngurumo kumuandikia nyuma ya pazia asingekuwapo so to speak. Heri ameamua kwenda kuondoa ujinga wake.
Mchuzi wa bata bwana yaani Mwanahalisi limefikia hali hiyo kweli?
Said Kubenea yupo bahati mbaya gazeti la Mwanahalisi linakufa kifo cha kawaida imefika wkt linauzwa kwa kilo maeneo ya Kariako/Msimbazi na Uhuru.
Mungu wako yuko Israel ?! Naona hilo duwa litachelewa kufika !Jamani huyu saed kubenea ana mchango mkubwa hapa nchini kwa mageuzi, Mungu wangu wa israel ampe maisha marefu.Amen
Mimi mwenyewe kaka nimestuka kusikia jamaa anatafuta diploma! wakati kuna vijana kama 500 kila mwaka wanamaliza BA Journalism na BA Mass Com bongo! Kweli ukistaajabu ya Musa