Umelonga, tatizo ni kwamba majority ya waandishi ni WANANUNULIWA & WANANUNULIKA kirahisi
Thats damn right, we went in different colleges!
Thats damn right, we went in different colleges!
Tatizo hata vyuo vyetu havifundishi uzalendo na maadili bali wana fundisha uandishi na upigaji picha na usemaji semaji kwenye luninga na radioni basi.
Kwa Tanzania uzalendo unatoka damuni mwa mtu kwahiyo Huyo kubenea ni jasiri wa kuzaliwa wala sio wa kusomea hakuna elimu hiyo Tanzania.
Thats damn right, we went in different colleges!
But the issue of colleges doesnt hold water.What i can say is that most journalists lack patriotism.they are money mongers and they embrace any kind of grand corruption.we have many evidences of journalists being brought before the court for seducind corruption.ethics starts from where you were nurtured but not from any colleges.if you have born a bogus you will continue to be a bogus.
Thats damn right, we went in different colleges!
Kubenea has never seen the inside of a journalism college, anatumia ujasiri tu. Lakini kingine ni kwamba gazeti analoandikia analimiliki yeye mwenyewe, tofauti na magazeti mengine ambayo wamiliki wake wanaminya editorial independence. Nawafahamu waandishi wa habari jasiri wengi tu lakini wapo kwenye vyombo vya habari ambavyo vina policies zinazowazuia kuonyesha ujasiri wao.