Sokomoko
JF-Expert Member
- Mar 29, 2008
- 1,915
- 127
Nawe nawe. Taaluma ya watu hiyo. Nenda kasome "Law of the Press" au tafuta wajuzi wakujuvye.
No hao ni watumwa wa ufisadi wanakuwa ni watumwa wa fikra pia, Alhamdullilah Mungu ananiwezesha kuwajua waliotumwa na mafisadi kwa kusoma posts zao.