Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 46,575
- 31,888
Wapi huko yanakaa hadi saa kumi?
Wiki iliyopita nilichelewa kulinunua, sikulipata baada ya saa nne asubuhi.
Mkuu njoo posta mpya na Kariakoo Uhuru na Msimbazi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapi huko yanakaa hadi saa kumi?
Wiki iliyopita nilichelewa kulinunua, sikulipata baada ya saa nne asubuhi.
Mwanahalisi siku hizi limeishakuwa gazeti la udaku, watu wamelichoka mpaka saa 10 jioni lipo kwenye vibanda vya magazeti.
Mwanahalisi siku hizi limeishakuwa gazeti la udaku, watu wamelichoka mpaka saa 10 jioni lipo kwenye vibanda vya magazeti.
Utawahadaa hao hao mazezeta,wewe ni mmoja wa wasaliti wakubwa wa nchi hii amini nakuambia kila chenye mwanzo kina mwisho hata kama sio leoNyerere kafanya nini cha maana? Mwinyi kaanza kuibomoa misingi mibovu aliyoiweka Nyerere iliyotufanya maskini wa mwisho duniani. Eti kila kitu cha umma! khaaa! jitu halijui hata choo cha flash ni nini unakuja unamwambia haya simamia majengo ya umma! hiyo ni akili kweli? kwanza angefundishwa namna ya kutumia choo.
,Hiyo sio hoja najua hupendi kilicho ndani ya gazetiMwanahalisi siku hizi limeishakuwa gazeti la udaku, watu wamelichoka mpaka saa 10 jioni lipo kwenye vibanda vya magazeti.
Mwanahalisi siku hizi limeishakuwa gazeti la udaku, watu wamelichoka mpaka saa 10 jioni lipo kwenye vibanda vya magazeti.
Utawahadaa hao hao mazezeta,wewe ni mmoja wa wasaliti wakubwa wa nchi hii amini nakuambia kila chenye mwanzo kina mwisho hata kama sio leo
Najua wengi mtanibishia lakini nimeyasema haya toka zamani kwamba adui yetu sisi sio JK bali ni chama CCM. Hii vita ya kuonyesha udhaifu wa JK ni kukosa kuona mbali kwamba chama CCM toka walipolichukua Azimio la Zanzibar ndipo ulegelege wake ulipoanza. Mbegu ilipandwa siku ile, Mkapa akaja kuiwekea mbolea na kumwagilia maji akasifiwa sana halafu sasa wakati wa JK tunavuna walichopanda..
Tatizo letu wote hapa JF tunataka kuziweka lawama kwa mtu mmoja japokuwa kiutawala JK alitakiwa kuyaona hayo na kuwaahidi wananchi ataweza kuyazuia lakini ameshindwa kwa sababu bado anaamini ktk Maazimio ya chama kuhusu Azimio lile linalowafaidhisha kundi la watu. Nimesikia habari nyingi sana kuhusu JK kuwa ni Statesman, tusubiri, sijui anapima lakini ukweli unabakia kwamba maadam ni muumini wa yale yale yalotufikisha hapa hataweza kubadilisha kitu. Amebakiza miaka yake mitatu alivue joho na hakuna atakachoweza tena..
Maneno ya mwalimu yametimia kweli maana tunavuna tulichokipanda na kwa bahati mbaya sana watu wanafikiria tatizo ni JK akiondoka na kuja sijui Lowassa au Asha Rose Migiro basi mambo yatakuwa mazuri.. Hakuna kitu tuubomoe mfumo mzima wa uongozi ktk Katiba hii mpya na kama kweli tutaweza kufanya hivyo basi yawezekana tukapata tumaini jipya..Kinyume cha hapo tunahitaji mageuzi kamili a 360 turn kurudi nyuma tulipoharibu na kurekebisha kisha tunarudi ktk mduara wetu..
Sii kazi ndogo lakini inahitaji sisi wenyewe kujitazama na sio kutegemea IMF au World bank tunasuriwa maana wao wachohitaji siku zote ni Taifa lenye shinda ya mikopo na misaada ili watengeneze faida zao ktk interest kama benki zinavyo tukopesha na kutuweka ktk madeni muda wote wa maisha yetu. Tutakopa tu pale tunahitaji kukopa na kwa mahitaji yetu sisi sio ya kupangiwa.
Nyerere kafanya nini cha maana? Mwinyi kaanza kuibomoa misingi mibovu aliyoiweka Nyerere iliyotufanya maskini wa mwisho duniani. Eti kila kitu cha umma! khaaa! jitu halijui hata choo cha flash ni nini unakuja unamwambia haya simamia majengo ya umma! hiyo ni akili kweli? kwanza angefundishwa namna ya kutumia choo.
Mwanahalisi siku hizi limeishakuwa gazeti la udaku, watu wamelichoka mpaka saa 10 jioni lipo kwenye vibanda vya magazeti.
Nani ana CV ya kilaza kubenea?naomba anyooshe mkono juu na atuwekee hapa ili tuijue kabla ya kupoteza muda kujadili maandishi yake.
Na hivi tume ya kuchunguza mauaji ya wale wafanyabiashara wa madini iliundwa na nani?
Maadui wanne wa maendeleo CCM, UJINGA, UMASKINI, na MARADHI.
unatia hasira wewe!! basi tu huku kuna ban!Hicho chama wakati wake kilifanya nini zaidi ya kuiingiza hii nchi kwenye lindi la umaskini. Ni yeye aliyekianzisha na kilikuwa na misingi mibovu, imebomolewa sasa inasukwa upya. Na bado!