jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 35,053
- 28,245
kwa hiyo unasema Sabodo anaogopa?yaani aogope kuhamia chadema lakini asiogope kuisaidia chadema tena mbele ya media????kama ni hivi basi sitachelea kumuita mnafiki.hadaa wapiiii? Kuna wana sisiem wengi wabunge kwa mawaziri wanataka kuingia chadema sema baadhi wana hofu kwa sababu wameifanya siasa ka ma ndo kazi ya maisha. Na baadhi wanahofu ya kufuatiliwa tiliwa kimizengwe ama kuuawa! Sasa wanasoma alama za naykati
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA