FredKavishe
JF-Expert Member
- Dec 4, 2010
- 1,090
- 318
Mungu akuzidishe sobodo heri yako wewe unapenda maendeleo sio vigogo wetu kazi yao kuambukiza dada zetu ukimwi kwa kodi zetu
Taratibu Chadema inaanza kutengeneza Mafisadi
Chama cha demokrasia na maendeleo kimetunuku Medali ya heshima na ujasili Mzee sabodo kwa kukichangia chama hicho waziwazi.
Pia ameahidi kukichangia tena chama hicho Milioni 150.
ITV.
Ujasiri wa huyu kada wa ccm (kama alivyojitambulisha) ni wakuigwa. Kwasababu watu wengi wanaotoa michango kwenye vyama huwa na tabia ya kujificha mbele ya jamii na hii upelekea kufaidika na michango yao hiyo bila jamii kuhoji. Leo hii tukionyeshwa mabilioni ya vyama yalichangwa na akina nani (2000/2005/2010) si ajabu tukakuta ndio hao hao wananufaika na kandarasi mbalimbali za serikali!
Taratibu Chadema inaanza kutengeneza Mafisadi
RIP CHADEMA
Kama vile mlivyowatengeneza lukuki katika chama chenu?
Wakutumwa bado mpo tu?
Unafikiri chadema ni kama nyie!
mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu...kweli ww ni mwana fisadi damu mana kuona mtu kachangia tu ukahisi ni kama mfanyavyo uko kwenu,kwanza nachefuka ona iyo rangi ya profile yako na iyo nyundo na yako ambayo soon itakumaliza mwenyewe.....ila kwa leo nmekusamehe sio kosa lako
Mafisadi ni kwenu huko mbona wanaochangiaga huko watuwasikii! kwa nini wanakosa ujasiri au kwa nini chama chenu (CCM) hakiwasemi/hakiwaweki hadharani??
Si mnajificha kwa sababu nyie ni mafisadi......................................
Atoaye kwa uwazi na Kupongezwa hadharani hawezi kutengenezwa kuwa fisadi. Sio wale wanaokwapua 40 bil na kuipa Chama twawala 10 bil kisha wanapewa uwezo hata wa kuhakikisha wanamweka Spika wa Bunge au waziri wamtakaye wao.
Kwa usemi wako huo unakili kuwa chama chenu ni chama cha mafisadi si ndio?
Kichwa maji huyu hapa
Umezoea kutukanwa wewe.
Naona mmeshachakachua maana ya Fisadi....fisadi hujificha anafanya mambo yake kwa siri, na atoaye kwa chama pinzani wakati wa mwanga ni nuru huyo!
Taratibu Chadema inaanza kutengeneza Mafisadi