"Hatuwezi kuwaachia nguruwe (CCM) wale shamba peke yao lazima tule wote" Hamad Rashid".
.
Hiyo ni signature ya Bwaba Quinine!
Kiongozi wangu,
Kama ameamua kushirikiana na nguruwe, na kwa kuzingatia tabia na haiba ya mnyama nguruwe, basi wapemba wana hasara kubwa sana kuwakilishwa na mtu mwenye muono na haiba ya nguruwe. Labda na yeye ni nguruwe!!:smile-big:
Nakubali kweli tunatofautiana kimtizamo!..Sabodo is very genuine. He doesn't give a hoot!
I wish Mengi angekuwa walau hata 25% ya huyu mzee.... maana yeye amekalia kujitafutia umaarufu wa kumletea maslahi binafsi.
Sipendi particularly anavyomfagiliaga JK.
Kwani ule ni msiba wa CHADEMA?
Kwani ule ni msiba wa CHADEMA?
Mkuu, we ulisoma propaganda kule Yugoslavia 1976 nini?...Kama vile nakujua!Marehemu walikua kwenye maandamano ya amani yaliyoongozwa na CHADEMA. So, nafikiri mtu anaweza kuupa msiba jina lolote lile analotaka lakini mazingira ya kifo kutokea yanabaki palepale.
Huyu mzee ni mzalendo wa kweli
Wakuu,
Ni ajabu na kweli.
.
Nimetumiwa ujumbe na taasisi ya Arusha-Mambo kuwa Mfanyabiashara Sabodo ametoa tshs 5M kwa familia ya Ismail, na tshs 5M kwa familia ya Denis, kama rambirambi zake kwa familia za marehemu wanamapinduzi na wapenda amani hao, waliouwawa na polisi mkoani Arusha.
Tunamshukuru sana Mh.Sabodo kwa salamu hizo ambazo tunaamini kuwa zitasaidia japo kwa kiasi fulani kuzifariji familia hizi, Mungu amzidishie mara mia…Amen.
Nakubali kweli tunatofautiana kimtizamo!..
Kwahiyo mkuu unaona misaada ya Mengi kwa jamii iko well-less than 25% ya Sabodo?...
Nakubali kutofautiana!...Ni haki ya bure ya kila mwanajamvi..
Wakuu,
Ni ajabu na kweli.
.
Nimetumiwa ujumbe na taasisi ya Arusha-Mambo kuwa Mfanyabiashara Sabodo ametoa tshs 5M kwa familia ya Ismail, na tshs 5M kwa familia ya Denis, kama rambirambi zake kwa familia za marehemu wanamapinduzi na wapenda amani hao, waliouwawa na polisi mkoani Arusha.
Tunamshukuru sana Mh.Sabodo kwa salamu hizo ambazo tunaamini kuwa zitasaidia japo kwa kiasi fulani kuzifariji familia hizi, Mungu amzidishie mara mia Amen.