huyu mzee ni shujaa. pamoja na kuwa mfanyabiashara mkubwa amesaidia sana upinzani na hasa CHADEMA bila kuogopa kufanyiwa zengwe na wenye dola. big up SABODO
...inabidi awe makini huyu vinginevyo Magamba wanaweza kabisa kumlambisha vya kumlambisha....maana hili la kada wa Magamba kuwapa CHADEMA bulungutu kama hili linawaumiza sana magamba na kuwakosesha usingizi.
Watu wenye fikra zao na pesa zao wana-support CHADEMA Mkuu sina chapaa kama jamaa kama ninjelikuwa kama jamaa ningetua hata zaidi ili vizazi na vizazi vinikumbuke!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.