ntamaholo
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 12,906
- 6,909
If I were a god, Sabodo would be immortal. . .Muchas Gracias
for sure, mzee huyu umri wake unakata sana, MUNGU ampe maisha marefu zaidi hadi aone Tanzania inapata kile anachokiamini. Awe kama SIMION wa kwenye bible aliyeahidiwa na malaika kuwa hatoonja mauti mpaka amwone YESU, na ndivyo ilivyo kuwa, baada ya kumwona alimshukuru MUNGU na kumwomba ampumzishe. I pray this for SABODO