Sasa ndio kufuru!
Tunashukuru kwa hilo.Namfahamu mzee huyo.Kuna wakati nilimwendea Sabodo kutaka msaada wa masomo nje ya nchi lakini nilijibiwa anasaidia vikundi na sio mtu mmoja mmoja.
Tunashukuru kwa hilo.Namfahamu mzee huyo.Kuna wakati nilimwendea Sabodo kutaka msaada wa masomo nje ya nchi lakini nilijibiwa anasaidia vikundi na sio mtu mmoja mmoja.
Duu habari zingine mbona hamna source wa nini then watu wanaanza kutoa pongezi
Radio one habari ya saa mbili. Pia katoa eneo la kujengea ofisi MwengeDuu habari zingine mbona hamna source wa nini then watu wanaanza kutoa pongezi