Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 59,188
- 79,417
kwani kuna binding agreements kwamba mtoaji msaada lazma alipwe fadhila? acheni woga jamani Chadema ikiwa na Slaa haiwezi kutetereka unaweza kutoa hela na ukaambiwa u-disappearWewe moyo wa huyu mtoaji unaujua?