BONGOLALA
JF-Expert Member
- Sep 14, 2009
- 16,507
- 11,883
Sabodo ndie nakumbuka mtu wa kwanza kufichua ukwepaji wa kodi kwa kampuni za simu!hembu tujiulize kwenye top ten large tax payers vodacom wapo nafasi ya ngapi?cha kushangaza voda eti ina wateja 10m,zain 5m lakini zain ipo kwenye top 5.sabodo keep it up!!!