Chief Isike
JF-Expert Member
- Jan 17, 2010
- 445
- 462
Leo tena majira ya asubuhi, historia imezidi kukolezwa wino baada ya mmoja wa wazalendo wa nchi na mfuasi wa kweli wa siasa za Mwalimu Nyerere, Mustafa Jaffar Sabodo amechangia Tsh. Mil 100 kwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kwa Mwenyekiti wake Bw. Freeman Mbowe.
Huwezi amini mzee anajiamini, anasema wazi kuwa CCM imeyumba...kashangazwa na 'muungwana', the outgoing President na mgombea urais wa CCM Jakaya Kikwete, kwa kuwashika mikono na kuwakampenia watuhumiwa wa kesi za ufisadi...
Anasema upinzani si uadui, na bila upinzani madhubuti, serikali (ya chama chochote) iliyoko madarakani itayumba...
Ni hayo kwa sasa, ngoja niingie mtaani kwanza kuhangaikia mabadiliko ya nchi hii...ALUTA CONTINUA CAMARADOS
Huwezi amini mzee anajiamini, anasema wazi kuwa CCM imeyumba...kashangazwa na 'muungwana', the outgoing President na mgombea urais wa CCM Jakaya Kikwete, kwa kuwashika mikono na kuwakampenia watuhumiwa wa kesi za ufisadi...
Anasema upinzani si uadui, na bila upinzani madhubuti, serikali (ya chama chochote) iliyoko madarakani itayumba...
Ni hayo kwa sasa, ngoja niingie mtaani kwanza kuhangaikia mabadiliko ya nchi hii...ALUTA CONTINUA CAMARADOS