Pamoja na upinzani unaonyeshwa na Chadema katika uchaguzi wa Arumeru Mashariki; CCM itaibuka na ushindi wa kati ya asilimia 51-55; zipo sababu nyingi lakini hizi ndizo hasa zitazoipa CCM ushindi
1. Sera za CCM pamoja na kwamba serikali ya CCM imeshindwa kutekeleza baadhi ya sera zake bado watanzania wana imani na chama chao na ukitilia maanani sera kubwa za wapinzani ni kuongelea ufisadi huku wakiacha kuelezea sera zao.
2. Busara za CC na NEC ya CCM kumpitisha mshindi wa kura za maoni ndugu Siyoi; pamoja na kuwa rushwa ilitawala vyombo vya juu vya CCM viliamua kulifumbia macho jambo hilo ili kuondoa mtafaruku; na kuleta umoja ndani ya chama
3. Katiba ya nchi bado inaipa nguvu chama tawala kushinda chaguzi; hapa hatuangalii tume huru lengo ni kushinda uchaguzi.
4. Kushindwa kwa vyama vya upinzani kusimamisha mgombea mmoja; Chadema imeshindwa kuvishawishi vyama vingine vya upinzani kutosimamisha wagombea hii ni faraja kubwa kwa CCM; EVERY VOTE COUNT! Kinyang`anyiro hiki ni kikali CCM tayari inao mtaji wa kutosha tunahitaji msaada kidogo kutoka kwenye vyama vingine vya upinzani ambao tayri tumeshaupata.
Kwa kumalizia tu ndugu Siyoi andaa suti ya kuingia nayo mjengoni.
Chama
Gongo la Mboto DSM
1. Sera za CCM pamoja na kwamba serikali ya CCM imeshindwa kutekeleza baadhi ya sera zake bado watanzania wana imani na chama chao na ukitilia maanani sera kubwa za wapinzani ni kuongelea ufisadi huku wakiacha kuelezea sera zao.
2. Busara za CC na NEC ya CCM kumpitisha mshindi wa kura za maoni ndugu Siyoi; pamoja na kuwa rushwa ilitawala vyombo vya juu vya CCM viliamua kulifumbia macho jambo hilo ili kuondoa mtafaruku; na kuleta umoja ndani ya chama
3. Katiba ya nchi bado inaipa nguvu chama tawala kushinda chaguzi; hapa hatuangalii tume huru lengo ni kushinda uchaguzi.
4. Kushindwa kwa vyama vya upinzani kusimamisha mgombea mmoja; Chadema imeshindwa kuvishawishi vyama vingine vya upinzani kutosimamisha wagombea hii ni faraja kubwa kwa CCM; EVERY VOTE COUNT! Kinyang`anyiro hiki ni kikali CCM tayari inao mtaji wa kutosha tunahitaji msaada kidogo kutoka kwenye vyama vingine vya upinzani ambao tayri tumeshaupata.
Kwa kumalizia tu ndugu Siyoi andaa suti ya kuingia nayo mjengoni.
Chama
Gongo la Mboto DSM