Singida ndio home
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 3,192
- 3,353
1. recent news zinasema kwambba mauzo ya iphone 4 yamekuwa greatly affected na samsung galaxy na hivyo iphone kupata fundisho kwamba soko la simu sio la kuongeza vitu vya kawaida kama picha na vi game kwa sasa i phone imetangaza inakuja na iphone 5 ambayo itakuwa ina improved sili(program ya kucontroll simu kwa kuongea nayo) na transparent theme kama muonavyo kwenye picha ya juu
2. samsung wana kazi mana wanatumia expense mno kwa developers wakati hata faida wanayopata ni ndogo since mauzo yamefidia kidogo kwa ile gharama waliyotumia kununua lcd display kutoka sony kwa dola milioni 939 kitu kama trilioni moja na kadhaa
3.. black berry yajipanga kuhamia android ambapo every thing will be ready when the ceo signs the contract