funzadume
JF-Expert Member
- Jan 28, 2010
- 13,559
- 21,040
Nadhani sababu kuu ni w/wake (wake zetu) utakuta baada ya kuolewa anasahau kabisa wajibu wake tofauti na enzi za uchumba utakuta mtu anakupa mzigo kama hataki vile hata hatoi ushirikiano (hii nimefanya kuuliza watu kama 10 hivi), wakati mtu unataka upate mahaba mazito kufidia mahari.
sasa ukijaribu kutest nje mara moja unakutana na mambo adimu, mtu ata ukimpuliza anatoa mlio wa kimahaba, kitandani ndio usiseme na ukimaliza washukuriwa na kupewa pole
Sio kitu kizuri nyumba ndogo na zishindwe ila wanawake mjitahidi kupepea ndoa zenu kwa kuwa wabunifu otherwise nyumba ndogo hazitaisha
sasa ukijaribu kutest nje mara moja unakutana na mambo adimu, mtu ata ukimpuliza anatoa mlio wa kimahaba, kitandani ndio usiseme na ukimaliza washukuriwa na kupewa pole
Sio kitu kizuri nyumba ndogo na zishindwe ila wanawake mjitahidi kupepea ndoa zenu kwa kuwa wabunifu otherwise nyumba ndogo hazitaisha