Sababu za Kutopiga Kura

Watanzania wenzangu poleni sana kwa uchungu na hali mnayopitia hivi sasa.

Pamoja na hayo, mtoto akianguka kama alikuwa akicheza huwa anafokewa asirudie tena, hali kadhalika wakati tunaona CCM wakitapatapa lazima tuangalie tumekosea wapi au tumeanguka wapi.

Slaa hawezi kushinda labda mitume wote wafufuke leo hii, sio kwa sababu hana uwezo kwa sababu hakuna mazingira yaliyotayarishwa ili mshindi yeyote awe kweli mshindi

sijaona serikali iliyotayari kuachia madaraka bila kufanya mbinu zozote za kubaki HAIPO, in human nature that is impossible , hivyo basi!

ilitakiwa kuiandaa na kupigania tume ya uchaguzi iwe huru tangu miaka 5 iliyopita, achilia mbali mabadiliko ya katiba n.k
leo hii kusema CCM wataiba kura hata chadema wakichukua mwaka 2015 wengine watasema the very same thing

wakati tunalialia kama wajinga fulani, lazima tujue kuwa vyama vya siasa kuingia kwenye mchakato wa uchaguzi hali wakijua hata kama wakishinda mtangaza matokeo atatangaza CCM mshindi ni ujinga na upumbavu wa hali ya juu ambayo historia haitaacha kutuhukumu.

Sio kwa sababu tunalilia mabadiliko basi tuwe wajinga tusioweza kufikiri, natumia neno wajinga na wapumbavu because they are perfectly matching us I will not embelish these words ! Leo hii mbaba mzima na ndevu zake na balls zinaning'ininia anafikiri eti CCM ghafla watageuka malaika wa nuru na kutowaza kuiba kura, wakti miaka hii mitano tumeshuhudia na kuhakikisha ni wezi wa mali asili, richmond,epa, rada, iptl n.k, ila kwenye uchaguzi tunawaamini wao na tume yao!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

I repeat this is good time for opposition parties to retreat!!!

-Ishinikizwe iundwe serikali ya mpito, inayojumuisha vyama vyote
-mabadiliko ya katiba ambayo yata accomodate vyama vyote kuunda serikali ya mseto
-tume ya uchaguzi iwe huru
-Ni rahisi opposition parties kupata support ya watanzania wengi na mataifa ya nje endapo watasimamia hayo hapo juu, na dhahiri tutauona ukombozi wa watanzania -LIVE, na kamwe si kwa kubahatisha wala kusubiri bahati!!!!!

Funga domo lako kama huna cha kuongea. Shwain we! Nani asiyekujua wewe na akili zako pimbi.
 
Funga domo lako kama huna cha kuongea. Shwain we! Nani asiyekujua wewe na akili zako pimbi.

Ninafurahi kuwa hujajibu hoja! watu intellectual kama wewe lecturer wa UDSM unajibu hivi!!! mama we!! mmeishaiharibu JF!!!
 
Watanzania wenzangu poleni sana kwa uchungu na hali mnayopitia hivi sasa.

Pamoja na hayo, mtoto akianguka kama alikuwa akicheza huwa anafokewa asirudie tena, hali kadhalika wakati tunaona CCM wakitapatapa lazima tuangalie tumekosea wapi au tumeanguka wapi.

Slaa hawezi kushinda labda mitume wote wafufuke leo hii, sio kwa sababu hana uwezo kwa sababu hakuna mazingira yaliyotayarishwa ili mshindi yeyote awe kweli mshindi

sijaona serikali iliyotayari kuachia madaraka bila kufanya mbinu zozote za kubaki HAIPO, in human nature that is impossible , hivyo basi!

ilitakiwa kuiandaa na kupigania tume ya uchaguzi iwe huru tangu miaka 5 iliyopita, achilia mbali mabadiliko ya katiba n.k
leo hii kusema CCM wataiba kura hata chadema wakichukua mwaka 2015 wengine watasema the very same thing

wakati tunalialia kama wajinga fulani, lazima tujue kuwa vyama vya siasa kuingia kwenye mchakato wa uchaguzi hali wakijua hata kama wakishinda mtangaza matokeo atatangaza CCM mshindi ni ujinga na upumbavu wa hali ya juu ambayo historia haitaacha kutuhukumu.

Sio kwa sababu tunalilia mabadiliko basi tuwe wajinga tusioweza kufikiri, natumia neno wajinga na wapumbavu because they are perfectly matching us I will not embelish these words ! Leo hii mbaba mzima na ndevu zake na balls zinaning'ininia anafikiri eti CCM ghafla watageuka malaika wa nuru na kutowaza kuiba kura, wakti miaka hii mitano tumeshuhudia na kuhakikisha ni wezi wa mali asili, richmond,epa, rada, iptl n.k, ila kwenye uchaguzi tunawaamini wao na tume yao!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

I repeat this is good time for opposition parties to retreat!!!

-Ishinikizwe iundwe serikali ya mpito, inayojumuisha vyama vyote
-mabadiliko ya katiba ambayo yata accomodate vyama vyote kuunda serikali ya mseto
-tume ya uchaguzi iwe huru
-Ni rahisi opposition parties kupata support ya watanzania wengi na mataifa ya nje endapo watasimamia hayo hapo juu, na dhahiri tutauona ukombozi wa watanzania -LIVE, na kamwe si kwa kubahatisha wala kusubiri bahati!!!!!

Mhh
 
I think my reasons are still valid! and will always keep on saying this we awre not supposed to vote!

Technically wapinzani wangejitoa kwa kisingizio cha mabadiliko ya katiba na NEC, tungekuwa kwenye mpito! na hata kama wa miaka 3 ili watu wakiingia kwenye uchaguzi kura zizipotee!

I know what ia happening tumedanganywa!
 
Back
Top Bottom