Waberoya
Platinum Member
- Aug 3, 2008
- 15,169
- 10,785
Huku watu wakiwa wehu na wamechanganyikiwa na kampein huku wale waota ndoto wakidhani slaa atashinda, najihurumia maskini mimi,ni nani atakayetuokoa na akili hizi za aibu si kwa kizazi cha sasa na hata kijacho.
Nchi hii sio ya CCM wala sio ya chadema wala cuf wala TLP n.k, nchi hii ni ya watanzania wote bila kujali itikadi zao za vyama, makabila, dini na makundi yoyote yale!
Kama hivyo basi hata serikali ya nchi hii haitakiwi kuwa ya chama kimoja, bali ya mseto!!! Ili kufikia hapa tukubaliane kuwa tunahitaji mambo yafuatayo!
1. Mabadiliko ya katiba, ya kuwa vyama vyote viunde serikali kulingana na kura watakazopata
2. Tume ya uchaguzi iwe huru na ya kujumuisha vyama vyote
3. Mabadiliko juu ya katiba juu ya nguvu ya rais. Jaji mkuu achaguliwe na majaji na aripoti kwa majaji,kadhalika kamisha mkuu wa polisi, mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali, na kitengo cha rushwa kiwe chini ya usalama wa taifa!(proposal)
Tukishamaliza hayo, ambayo kwa makusudi hayakufanywa mawaka 1992!, ndio ukombozi utakapoanzia hapo, na faida yake ni kuwa
1. Vyama vitafanya kampeni kamilifu, hali vikijua kwa kura zozote zile watapata ushiriki ndani ya serikali ya mseto. Hii itawapa motisha vyama vyote kujitoa na kufanya kila namna kukubalika kwa wananchi
2. Itawapa ari wananchi kujitokeza kupiga kura, hali haitabadilika mwaka huu, idadi ya kura wanazopata wapinzani inapungua kila baada ya miaka mitano kutoka 1995, ila hali maendeleo ya science na teknolojia yanaongezeka na kufanya hali nzima kuwa haieleweki
3. Upinzani halisi ni kubadilisha mambo ya msingi kwanza!!! Hii haihitaji degree au karama Fulani, Mh.Slaa nilimuuliza kwa nini wasijali katiba kwanza akasema ni ‘kazi ngumu' ili hali leo anavuja jasho, na akikosa urais atakaa bench bila kulisaidia taifa lake kwa sera zake nzuri
4. Watanzania wanaweza na wataweza , kama mwaka 1995 tuliona nini kilitokea je, tumeona Zanzibar, je ni kitu gani cha ajabu kinategemewa mwaka huu?? Wakati watu wanawaza kura, vyama tawala huwa vinadeal zaidi na watangaza matokeo tu!!!, na wakitangaza CCM mshindi, ndio washindi hao, na jeshi wanasema msipinge matokeo
Naumia kila ninapoona mtu anasema kupiga kura, kura is an ultimate solution, yes but must be on sound foundation, sio kila kupiga kura ni kufanya mapinduzi, tumeishawahi kupiga kura huku kivuli na huku mtu, kitu kinachojionyesha wazi hata leo hii!
Tukutane baada ya uchaguzi, kama tunaamini kwa namna hii ndio kuleta mabadiliko, basi we are truly accepting evolution, by which will come only through CCM!!! Otherwise we have to throw one party-governing system of which we will be employing revolution! Whats happening now is evolution, yes we will see changes but may be million years to come, you don't believe? ask Kiranga.
Tuache mteremko!
After Election:
I will be visiting this and my other posts regarding politics and politician in our beautiful country of Tanzania. I will repost this for the next five years if God wishes to remind ourselves.
Bila mabadiliko ya NEC na katiba hakuna kinachowezekana, Nilipropose kutopiga kura si kwa sababu sitaki mabadiliko, CCM wangekuwa kwenye shinikizo kubwa la kubadili NEC na katiba endapo upinzani ungesema na kutaka hivyo prior to election. Ndiyo tungesubiri hata miaka 2 tena ya kipindi cha mpito huku CCM wangekuwa bado madarakani but at least after that baaada ya kura unajua kabisa kura yangu haijapotea, siyo imeenda hewani tu!!!! every vote must do something!!!!
Ninavishutumu vyama vya siasa na Slaa mmoja wapo maana tulijibishana humu ndani na alikiri kuwa mabadiliko ya katiba ni ngumu!! huyu mtu anataka kwenda ikulu for what? hakuna tunayemuamini pale IKULU SI SLAA WALA BABA YANGU, IKULU PALINDWE NA SHERIA TIMILIFU AMBAZO ZIMEPITISHWA NA SIO ETI NITABADILI KATIBA NIKIINGIA IKULU!
For the nex half decades I will open Tanzanian eyes regarding this na jinsi gani vyama hivi vinafanya biashara kwa kisingizio cha mabadiliko. Sasa mnataka kusema Rungwe na Mziray nao walijua watashinda . Hivi kutoksema ukweli ni kupona kweli??
Mnaingiaje kwenye uchaguzi mkijua kabisa NEC wataipendela CCM?? baada ya uchaguzi unalalamika! Idd Simba akisema watanzania wengi wanamtindio wa akili nikiwepo mimi msomi anatuonea??
SABABU KUBWA YA WATU KUTOPIGA KURA NI KUJUA WAZI JK ATASHINDA, investigate it!
Nchi hii sio ya CCM wala sio ya chadema wala cuf wala TLP n.k, nchi hii ni ya watanzania wote bila kujali itikadi zao za vyama, makabila, dini na makundi yoyote yale!
Kama hivyo basi hata serikali ya nchi hii haitakiwi kuwa ya chama kimoja, bali ya mseto!!! Ili kufikia hapa tukubaliane kuwa tunahitaji mambo yafuatayo!
1. Mabadiliko ya katiba, ya kuwa vyama vyote viunde serikali kulingana na kura watakazopata
2. Tume ya uchaguzi iwe huru na ya kujumuisha vyama vyote
3. Mabadiliko juu ya katiba juu ya nguvu ya rais. Jaji mkuu achaguliwe na majaji na aripoti kwa majaji,kadhalika kamisha mkuu wa polisi, mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali, na kitengo cha rushwa kiwe chini ya usalama wa taifa!(proposal)
Tukishamaliza hayo, ambayo kwa makusudi hayakufanywa mawaka 1992!, ndio ukombozi utakapoanzia hapo, na faida yake ni kuwa
1. Vyama vitafanya kampeni kamilifu, hali vikijua kwa kura zozote zile watapata ushiriki ndani ya serikali ya mseto. Hii itawapa motisha vyama vyote kujitoa na kufanya kila namna kukubalika kwa wananchi
2. Itawapa ari wananchi kujitokeza kupiga kura, hali haitabadilika mwaka huu, idadi ya kura wanazopata wapinzani inapungua kila baada ya miaka mitano kutoka 1995, ila hali maendeleo ya science na teknolojia yanaongezeka na kufanya hali nzima kuwa haieleweki
3. Upinzani halisi ni kubadilisha mambo ya msingi kwanza!!! Hii haihitaji degree au karama Fulani, Mh.Slaa nilimuuliza kwa nini wasijali katiba kwanza akasema ni ‘kazi ngumu' ili hali leo anavuja jasho, na akikosa urais atakaa bench bila kulisaidia taifa lake kwa sera zake nzuri
4. Watanzania wanaweza na wataweza , kama mwaka 1995 tuliona nini kilitokea je, tumeona Zanzibar, je ni kitu gani cha ajabu kinategemewa mwaka huu?? Wakati watu wanawaza kura, vyama tawala huwa vinadeal zaidi na watangaza matokeo tu!!!, na wakitangaza CCM mshindi, ndio washindi hao, na jeshi wanasema msipinge matokeo
Naumia kila ninapoona mtu anasema kupiga kura, kura is an ultimate solution, yes but must be on sound foundation, sio kila kupiga kura ni kufanya mapinduzi, tumeishawahi kupiga kura huku kivuli na huku mtu, kitu kinachojionyesha wazi hata leo hii!
Tukutane baada ya uchaguzi, kama tunaamini kwa namna hii ndio kuleta mabadiliko, basi we are truly accepting evolution, by which will come only through CCM!!! Otherwise we have to throw one party-governing system of which we will be employing revolution! Whats happening now is evolution, yes we will see changes but may be million years to come, you don't believe? ask Kiranga.
Tuache mteremko!
After Election:
I will be visiting this and my other posts regarding politics and politician in our beautiful country of Tanzania. I will repost this for the next five years if God wishes to remind ourselves.
Bila mabadiliko ya NEC na katiba hakuna kinachowezekana, Nilipropose kutopiga kura si kwa sababu sitaki mabadiliko, CCM wangekuwa kwenye shinikizo kubwa la kubadili NEC na katiba endapo upinzani ungesema na kutaka hivyo prior to election. Ndiyo tungesubiri hata miaka 2 tena ya kipindi cha mpito huku CCM wangekuwa bado madarakani but at least after that baaada ya kura unajua kabisa kura yangu haijapotea, siyo imeenda hewani tu!!!! every vote must do something!!!!
Ninavishutumu vyama vya siasa na Slaa mmoja wapo maana tulijibishana humu ndani na alikiri kuwa mabadiliko ya katiba ni ngumu!! huyu mtu anataka kwenda ikulu for what? hakuna tunayemuamini pale IKULU SI SLAA WALA BABA YANGU, IKULU PALINDWE NA SHERIA TIMILIFU AMBAZO ZIMEPITISHWA NA SIO ETI NITABADILI KATIBA NIKIINGIA IKULU!
For the nex half decades I will open Tanzanian eyes regarding this na jinsi gani vyama hivi vinafanya biashara kwa kisingizio cha mabadiliko. Sasa mnataka kusema Rungwe na Mziray nao walijua watashinda . Hivi kutoksema ukweli ni kupona kweli??
Mnaingiaje kwenye uchaguzi mkijua kabisa NEC wataipendela CCM?? baada ya uchaguzi unalalamika! Idd Simba akisema watanzania wengi wanamtindio wa akili nikiwepo mimi msomi anatuonea??
SABABU KUBWA YA WATU KUTOPIGA KURA NI KUJUA WAZI JK ATASHINDA, investigate it!