Ni dhahiri kuwa mchakato wa kupata Katiba mpya umekwama.
Ili tuweze kupata Katiba, kama hoja italetwa tena siku zijazo, basi ni vema kuamua kwanza kuhusu mfumo wa Muungano.
Tukumbuke kuwa, kama ilivyo kwa Zanzibar, leo hii nasi tungekuwa na serikali ya Tanganyika basi tusingekubali kuivunja.
Hivyo suala la msingi ni kuamua kati ya serikali 3 au serikali 1.