Sababu za kufeli kwa zoezi sensa

limefeli limefeli limefeli na data zake sio za kuja kutumia kwa maslai ya taifa. kwa ufupi hawajajipanga
 
walikuwa bize wanafundishana jinsi ya kujaza madodoso sio kufundishana changamoto za miji ilivyokaa na namna yha kupata taarifa sahihi.
hata huko kujaza hizo data ni tatizo pia. ndio takwimu hizi zitasaidia kupanga mipango ya maendeleo au kuporomosha maendeleo? ukitumia data mbaya kupanga utapanga mipango mibaya na mibovu pia.
 
Sababu ni Chadema kupitia Mikutano na maandamano yao!!

(source: Dr.Emanuel Nchimbi na IGP Saidi Mwema)
 
Mimi nashauri sensa irudiwe after three years. Kwa vyovyote taarifa itakayotolewa haitakuwa na ukweli bali kutakuwa na estimations ambazo inawezekana zisireflect uhalisia..! Kuna udhaifu mwingi sana umejitokeza, ikiwepo maandalizi yake sijui serikali yetu watu wamekuwaje siku hizi..yaani JK kama kweli anataka aache legacy kuna haja ya kuwatimua watu wengi sana kwenye system..

Kila mtu anataka aibe au ajifaidishe kutokana na nafasi aliyopewa..kupata kiwanja Ardhi lazima utoe rushwa.. Sensa kushiriki kuna wengine walitoa kidodogo ni mwendelezo wa kula na kuliwa..so sad!!
 
Police wanataka kuleta machafuko kwa kuingilia iman za wa2 tumien akili sio nguvu kun kaya nyingi zimegoma dsm na hilo j
 
Mimi nipo Uganda sijui kama wamenihesabu kwenye familia ipi, kwani sijaulizwa maswali na yeyote yule kuhusu zoezi hili. Serikali DHAIFU lazima zoezi liwe DHAIFU.
 
Sensa inaendelea vizuri,kasoro ni kidogo. Hawa wahuni wasiotaka kuhesabiwa ni kiasi kidogo cha Watanzania.
 
Hizi ni hisia zako tu; maana bila kufanya utafiti huna haki ya kuzungumza! Je wewe umetumia vigezo gani kutufanya tuamini sensa imefeli?!
Ni kweli kumekuwa na mapungufu ya hapa na pale na wameweka margin of error kwa sababu kazi hii inafanywa na binadamu sio malaika! lakini sidhani kama mapungufu hayo na changamoto zake zinakidhi kutoa "hukumu ya kifo" kufeili jumla!

Wewe itakuwa ni gamba unashabikia Hata visivo takiwa kushabikiwa unashabikia kisa ccm, zoezi lime fail na huo ndio ukweli Kama Mimi mpaka Leo sijahesabiwa na sijagoma na sio Mimi tuu watu kibao utasema limefanikiwa? Wacha kuwa mamluki kutoka pilau mpaka vitumbua huoni ndio mwisho wewe bado una ngangania tuu? Kweli ngombe wa shirika hufa na ngozi yake nimeamini kupitia wewe na wenzako
 
Wewe itakuwa ni gamba unashabikia Hata visivo takiwa kushabikiwa unashabikia kisa ccm, zoezi lime fail na huo ndio ukweli Kama Mimi mpaka Leo sijahesabiwa na sijagoma na sio Mimi tuu watu kibao utasema limefanikiwa? Wacha kuwa mamluki kutoka pilau mpaka vitumbua huoni ndio mwisho wewe bado una ngangania tuu? Kweli ngombe wa shirika hufa na ngozi yake nimeamini kupitia wewe na wenzako

Wakati mwingine hujahesabiwa kwa matatizo yako mwenyewe. Toka jumatatu ktk mizunguko yangu nimekua nikipita mitaani naangalia kama geti ama milango ya nyumba imewekewa tick,maeneo mengi hapa Dar yametikiwa kwamba tayari kumeisha hesabiwa. Malalamiko kama yako,peleka ktk Serikali ya Mtaa wako. Hata hivyo sitashangaa ukidai hujui ofisi ilipo!
 
Wakati mwingine hujahesabiwa kwa matatizo yako mwenyewe. Toka jumatatu ktk mizunguko yangu nimekua nikipita mitaani naangalia kama geti ama milango ya nyumba imewekewa tick,maeneo mengi hapa Dar yametikiwa kwamba tayari kumeisha hesabiwa. Malalamiko kama yako,peleka ktk Serikali ya Mtaa wako. Hata hivyo sitashangaa ukidai hujui ofisi ilipo!

mbona hukuzibishia redio , magazeti, tV zilizokuwa zinaonesha kufeli kwa zoezi lako?
 
Ila sishangai ni serikali hii hii madaktari wamegoma inasema kazi zinaendelea vizuri, walimu wamegoma inasema walimu wapo kazini, sensa imefeli wanasema zoezi limeenda vizuri sana. huu ndio mwelekeo wa serikali
 
Mimi sijamwona afisa yeyote wa sensa akija kwangu hadi dakika hii. Nadhani kwangu sio Tanzania. Leo nimeamua kutokwenda kazini kabisa ili nisubiri zoezi hilo lakini wapi!
 
Jamani mie kulingana na kazi yangu natoka asubuhi na kurudi jioni na naishi pekeyangu so alipokuja karani wa sensa akanikosa. Wakaacha maswali matatu tu kwa jirani;
1. Jina kamili
2. Tarehe ya kuzaliwa
3. Kiwango cha elimu
Hii imekaa vizuri kweli, kwani kulingana na mkurugenzi wa Takwimu alisema kuna aina mbili ya dodoso;
1. Fupi, yenye maswali 32 na
2. Dodoso ya pili ina maswali zaidi ya 60

kama aina za dodoso ni mbili sasa hiyo yako ni ipi? mbona kwa mujibu wa mkurugenzi wa takwimu hakuna dodoso lenye maswali matatu? uchakachuzi unaendelea.
 
Walimu wengi hawakuchukuliwa kwenye sensa, wengi ni form 4 na 6 leavers, wengi wao walikuwa na shida na hizo posho tu sio kazi, baada ya posho ya semina wengi wameingia mitini, waliobaki kati ya nyumba 10 wanakwenda 3, zilizobaki wana pika data. Hivyo tatizo kubwa ni kutohesabiwa kwa watu wengi waliotayari kuhesabiwa na sio mgomo wa waislamu.
 
Kwanini wahusika wailandaa madodoso pungufu????????????? Matangazo yalikuwa mengi kuliko maandalizi ya vifaa kama vile uniform, madodoso, fedha nk
 
Wakati mwingine hujahesabiwa kwa matatizo yako mwenyewe. Toka jumatatu ktk mizunguko yangu nimekua nikipita mitaani naangalia kama geti ama milango ya nyumba imewekewa tick,maeneo mengi hapa Dar yametikiwa kwamba tayari kumeisha hesabiwa. Malalamiko kama yako,peleka ktk Serikali ya Mtaa wako. Hata hivyo sitashangaa ukidai hujui ofisi ilipo!

Wewe ni mwehu kweli unaongelea mtaani kwako dar wakati hunijui na hujui nakaa wapi? Wacha Akili za mbayuwayu fikiria majibu yako kabla huja post ***** wako get the he'll out of my side damn
 
Back
Top Bottom