Gagurito
JF-Expert Member
- Feb 11, 2011
- 5,600
- 803
Ni jambo la ajabu na lakushangaza kwa Jeshi letu la Polisi kwa umati ule kukaa kimya juu/kutokuwa na sababu za kiintelejensia ambazo tumezoea kuziona pindi kuwapo na mikusanyiko ya hapa na pale hususani ya kisiasa. Swali: Je ni kwanini jeshi la polisi limekaa kimya kuliko kawaida yake? Na ni kweli huwa hizi sababu zipo amani magumashi?!