Kuna watu waadilifu sana CCM na ninawakubali, ila hii timu iliyopo kwa manufaa ya watanzania Kikwete na watu wake waondoke tujenge nchi yetu. Kikwete is a true failure, hebu angalia akina Makamba, Msekwa, Rostam, Kinana, Lowassa....usanii wanaoufanya kila kukicha? Ahadi na ujinga wa Bajaj we need a change kwa manufaa ya watanzania na kizazi kijacho. Utoto na mazingaombwe ya mkuu mwenye Kifafa afikie wakati akapumzike.
Mdahalo ungemsaidia kujenga hoja kama anategemea kuchakachua kura afanye atakalo.
Sikiliza hiki kibwagizo
wengine mnaongea kama hamna meno wewe ungeambiwa uongee ungesema nini? Ungetoa sababu gani kwenye mdahalo na maswali ambayo ungeulizwa bora kukimbia tuuu!wanapenda kampeni za majukwaani kuliko mdahalo wanamaana gani?
Na hii je?